Maajabu ya mwanamke mjamzito kuomba police wamwambie mume asimpige tena sababu anampenda sana, hii ni baada ya kupewa kipigo kizito!

Karne za leo kama mwanaume unaakili timamu kamwe huwezi kumpiga mwanamke, kupiga nankujeruhi ni uonezi na sio funzo kwamba atajifunza
 
Ni kweli mwanaume anakosa lakini hatujui upande wa mwanamke na makosa yake sasa siwezi hukumu mwanaume na sijui huyo mwanamke alimpa maudhi kiasi gani...!
Hatujakataa tu nakuwaga na maudhi mengi lakini ndio ufikie hatua hiyo aliyofikia huyo dada?

Hii hatua ni ya kutiana ulemavu ndugu mwanajf mwenzangu.

Amesahau kuwa ni mjamzito Maskini ya Mungu.πŸ₯ΉπŸ₯Ήβ€¦

Nikweli tunawakwaza,,lakini mmesahau hata nyie mnatukwaza pia.maisha ni kuchkuliana na kusameheana na sio kutiana ulemavu
 
Heshima kwa mapenzi
Ukifikiria wewe unaweza kuweuka
Maombi ndio njia.....
 
Ninauzoefu wa mimba zaidi ya moja.

Kama mwanamke anamimba hapo mwenye kosa ni mwanaume kulingana na mwandiko wako.

kupiga gani huko jamani khee
Tena wakati mwingine ana joto Kali mwilini na anataka .....
 
Huyu mwanamke atakua anaishi na mhalifu

Ameshamuathiri kisaikolojia kwa kiasi cha kutisha

Ila serikali iingilie Kati maana akili zikimkaa sawa anaweza asipigwe tena ila yakawa mauaji
Anaishi na muuaji ndani eti anampenda πŸ™†πŸΌβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΌβ€β™‚οΈ Akili ishaharibika pakubwa
 
Mapenzi yapo ya aina nyingi mama

Raha ya penzi likutoe kovu
 
Uuwiii! Kuna namna sio bure.

Na hapo anajitengenezea mazingira ya kuja kuuliwa kabisa siku moja au hata kupata ulemavu wa kudumu.
 
Mmhhh amepigwa na mwanaume huyu? Hapana wanaume hawa hawa tunaowaona au kuna wengine? Mi nnachojua wenye roho mbaya hivi ni wanawake (according to maelezo ya wanaume wa jf) maana kila nyuzi wabaya ni wanawake. Huyu dada aseme ukweli bwana maana ukatili wa kijinsia kwenye jamii yetu haupo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…