MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Sasa mbona watu wakileta nyuzi za kukataa ndoa wanawake mnakuwa wa kwanza kukasirika na ku react ?Marriage imekuwa Suffering....Kuogopa tu kuitwa "Single Mother".
😳wee,sema kweli?Kwahyo wanawake kule kanda maalum ni mazoba ? Mkishaishi mjini mnasahau kabisa mila mlipotoka
Mume akikurushia ngumi hutakiwi kuikwepa
Ukijua jinsi ya ku control hasira zako jipige pige kifua sema mimi ni one in the million.Hatujakataa tu nakuwaga na maudhi mengi lakini ndio ufikie hatua hiyo aliyofikia huyo dada?
Hii hatua ni ya kutiana ulemavu ndugu mwanajf mwenzangu.
Amesahau kuwa ni mjamzito Maskini ya Mungu.🥹🥹…
Nikweli tunawakwaza,,lakini mmesahau hata nyie mnatukwaza pia.maisha ni kuchkuliana na kusameheana na sio kutiana ulemavu
Alisikika mlevi mmoja[emoji1787][emoji1787]Kwahyo wanawake kule kanda maalum ni mazoba ? Mkishaishi mjini mnasahau kabisa mila mlipotoka
Mume akikurushia ngumi hutakiwi kuikwepa
Ndio hutakiwi kuikwepa ndio mapenzi na utii huo[emoji15]wee,sema kweli?
Umewahi kukaa kwenye ndoa..!?Karne za leo kama mwanaume unaakili timamu kamwe huwezi kumpiga mwanamke, kupiga nankujeruhi ni uonezi na sio funzo kwamba atajifunza
[emoji23][emoji23][emoji23]Mi ngoja waniite mpaka watanuke midomo[emoji23][emoji23]
Ninauzoefu wa mimba zaidi ya moja.
Kama mwanamke anamimba hapo mwenye kosa ni mwanaume kulingana na mwandiko wako.
kupiga gani huko jamani khee
Hapo hakuna kumkanya ni kumweka ndani na adhabu kali ili kumfunza adabu yeye kama mfano kwa wanaozunguka eneo hilo!
Huruma sana kwa huyo mwanamke na kiumbe chake tumboni ishhh! Sijui kitakua salama mungu wangu!?
Shida ya wanaume ni ulevi uliokithiri kupita kiasi hata kumpelekea mtu kujichukulia maamuzi mkononi kiasi hicho eeh! Inasikitisha sana, Wanawake mjihadhari na vibwanga kama hivi ona sasa huyo dada si amekua chongo kwa hali hiyo!
Yani ye akipigwa atulie akipona vzuri amvizie amelala ashuke kitandani achomeke neti vzuri ikae chini ya godoro kabisa alf atoke nje avunge kama amevamiwa waje shemeji wa mwanaume wawili tu wamshushie kichapo akiwa ndani ya neti.Mama mwenye ujauzito wa miezi minne Jamila Hamisi (34) mkazi wa mtaa wa Remtula kata ya Elerai Jijini Arusha, amedai amejeruhiwa macho yake kwa kupigwa ngumi za uso na mume wake baada ya kutokea mzozano kati yao desemba 27, 2022.
Jamila ameliomba Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limkanye mwanaume huyo ili aweze kuendelea kuishi naye kwakua bado ana upendo naye.
View attachment 2467685
Hawa ndio wanaishiaga kugawana majengo ya serikali - warudiane kisha mmoja aishie mortuary mwingine jela
Hana lolote, njaa tu inamsumbua...hana pa kwenda
Mwanamke atunzwe na ustawi wa jamii.Mama mwenye ujauzito wa miezi minne Jamila Hamisi (34) mkazi wa mtaa wa Remtula kata ya Elerai Jijini Arusha, amedai amejeruhiwa macho yake kwa kupigwa ngumi za uso na mume wake baada ya kutokea mzozano kati yao desemba 27, 2022.
Jamila ameliomba Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limkanye mwanaume huyo ili aweze kuendelea kuishi naye kwakua bado ana upendo naye.
View attachment 2467685
Hawa ndio wanaishiaga kugawana majengo ya serikali - warudiane kisha mmoja aishie mortuary mwingine jela