Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

Hebu tuwe wakweli kidogo, siku ya kupiga kura kwa wananchi wote ni kesho, leo ni kwa wale wenye kazi maalumu tu. Sasa Maalim Seif anakwenda kwenye kituo kufanya nini??
Hii ni kuichokoza serikali kwa makusidi ili ukikamatwa uanze kulalamika kuwa hautendewi haki

Nawewe Jaribu kuwa na akili kidogo japo za kuazima.


Hivi Tanzania bara hakuna watu wa kazi maalumu? Kazi maalumu iyo ni ipi unayoizungumza ambayo Bara haipo ?



TUMIA AKILI JAPO KIDOGO.. WACHA UPUMBAVU MZEE
 
Kupiga kura Zanzibar ni kukamatwa? Polisiccm muogopeni mungu kuna maisha baada ya uchaguzi
Kama unajua kuna maisha baada ya uchaguzi mwambie huyo mzee kesho ndo siku ya kupiga kura na sio leo eboo.
 
Nawewe Jaribu kuwa na akili kidogo japo za kuazima.


Hivi Tanzania bara hakuna watu wa kazi maalumu? Kazi maalumu iyo ni ipi unayoizungumza ambayo Bara haipo ?



TUMIA AKILI JAPO KIDOGO.. WACHA UPUMBAVU MZEE
Kwanini iliwekwa siku2 za kupiga kura kwenye sheria ya uchaguzi Zanzibar?
 
Yeye kama mgpmbea je haruhusiwi kutembelea zoezi na upigaji kura aone kama haki inatendeka?
Hiyo ni kazi ya mawakala. Je ingekuwa ni mgombea Mwinyi kafanya hivyo na Maalim hajafanya mngeelewa?
 
Anaenda leo yeye ni mfanyakazi wa tume? Yeye ni mtumishi wa umma? Inatakiwa akae ndani hadi tumuapishe raisi wetu Mwinyi maana anajua kuwa hashindi bali anatafuta kuanzisha vurugu ambazo zinagharimu maisha ya watu.
 
Kuna njama za kuwateka mawakala wa upinzani na kuwaweka mahabusu saa 48 kwa amri ya DC. Msipoweka mifumo ya kujilinda itakula kwenu
 
Pia usishau kubeba pen na karatasi kwa ajili yakuandika wosia wa marehemu maana lolote linaweza kutokea.
 
Back
Top Bottom