Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga kura Zanzibar ni kukamatwa? Polisiccm muogopeni mungu kuna maisha baada ya uchaguziHata wewe ukitaka kukamatwa kafanye Kama alivyo fanya Maalim Seif utajua sababu.
Mkoloni kaburu mweusi ndiyo chanzo cha kila kituNadhani anayevuruga amani ya Zanzibar ni Tanganyika
Sasa wewe unataka Seif aachiwe tu avunje sheria? Anaenda kituoni eti kupiga kura leo! Unataka vyombo vya dola vimwache akapige kura? Yeye ni nani? Anajua hawezi kushinda ndiyo maana anataka kutokee vurugu. Amani italindwa kwa gharama zote.Mimi naona kama vile hata polisi wanampaisha Maalim,wataacha watu wakapige kura za hasira na huruma.
Ninadhani hatayeye alijuatu kama atakamatwa hivyo kwake nikama kete ya ushindi
Haruhusiwi ndio, Sasa Mawakala wa Nini ?Yeye kama mgpmbea je haruhusiwi kutembelea zoezi na upigaji kura aone kama haki inatendeka?
Unajidanganya.!hata wazanzibar wote wapigie kura upinzani bado atatangazwa Mwinyi kashinda
Lengo ni kwamba mgombea wa upinzani ataki muungano ccm awawezi kumpa urais Maalim Seif Zanzibar labda kama angegombea mtu mwingine
Na kama wameamua kukinukisha ndio itakuwa rasmi zanzibar ni mkoa wa Tanganyika kuwanzia uchaguzi huu
Na kama uliona jana wajeshi wanawapa kichapo raia
Ndio rasmi sasa Zanzibar itarudi Tanganyika kinguvu ,, tega sikio
Nani kakudanganya! Fatilia mambo Zenj kura zinaanza leo!Safi... Kupiga kura ni kesho, yeye anaenda leo kama nani?
Safi... Kupiga kura ni kesho, yeye anaenda leo kama nani?
Haujui kuwa mgombea ndiye wakalaa mkuu kuliko wote?Haruhusiwi ndio, Sasa Mawakala wa Nini ?
Mimi upande wa Zanzibar Simuungi Mwinyi Mkono
Zaidi zaidi Muungano ufe tuu ndio Jambo la Msingi lililobaki
Zanzibar tuwaachie kisiwa chao
MUUNGANO UWE HISTORY
Zanxibar ccm wanapiga leo na kesho yaani wanapiga twice.Kupiga kura ni kesho ama?
Hebu tuwe wakweli kidogo, siku ya kupiga kura kwa wananchi wote ni kesho, leo ni kwa wale wenye kazi maalumu tu. Sasa Maalim Seif anakwenda kwenye kituo kufanya nini??Mithali 34:14
Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote
Pia imenenwa kuwa AMANI NI ZAO LA HAKI
Tunapaswa kama Taifa tujiulize je HAKI tunaitenda wakati tunahimiza tudumishe AMANI?
Angalia watu kama wewe mlio bado na utumwa wa wakoloni. Hivi katia ya sefu na mwinyi nani mzanzibari halisi?? Mimi nakwambia wote ni wazanzibari halisi. Huu ubaguzi wako umechagizwa na propaganda za wazungu ili watugawe maana hivyo ndiyo wanaweza kupora rasilimali zetu. Amka mjomba sisi wote ni waafrika tusibaguane kwa maslahi ya wakoloni. Kama Mjaluo, Obama, anaweza kuwa rais wa Amerika iweje Mwinyi ambaye ni mzaliwa wa Zanzibar asiwe?Mwinyi atakuwa Rais kwa njia haramu za kishetani na atakuwa ni Rais wa jwtzccm Polisiccm Uhamiajiccm magerezaccm Msajiliccm wakurugenziccm siyo Rais wa wazanzibar
Maalim Urais atauona kwenye tv na magazeti.CCM wakorofi sana hasa yule kaburu Mkoloni mweusi
Samahani mkuu kwani maalim seif ni mlemavu? Leo maelekezo ni kwamba walemavu na wazee ndiyo wanapiga kura.Soon watakiona cha mtema kuni hao wahuni wa ccm! Mnalazimisha huyo papasi wenu mwinyi asiyependwa, mwaka huu mtajua hamjui wahuni ninyi!