Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kule HAKUNA Wana CCM, wale wote ni wapiga kura wa Lissu na kaagiza wampigie Maalim Seif.Kaenda kwa sababu kuna maccm yapo vituoni kupiga kura leo asubuhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule HAKUNA Wana CCM, wale wote ni wapiga kura wa Lissu na kaagiza wampigie Maalim Seif.Kaenda kwa sababu kuna maccm yapo vituoni kupiga kura leo asubuhi
Unajua kwamba kuna kura kibao ccm walizipiga usiku kwanini iwe hivyo ccm wanachokitafuta watakipata.Hivi na yeye yupo kwenye lile kundi maalum linalopaswa kupiga kura leo?
Mambo ya Zanzibar ni shida. Mwaka huu damu nyingi zaidi inaweza kumwagika kuliko kipindi kile cha Salmin Amour. Kila mtu anapaswa kutimiza wajibu wake.
Duniani kote hawaitaki CCM kwani imedumaza maendeleo Tanzania yenye rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa zote za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia badala ya maendeleoBbc Africa wanadai Ccm ni chama kilichokaa madarakani miaka mingi Africa kuliko chama chochote cha siasa,haya ndo madhara yake,tuikatae kwenye sanduku la kura,mkoloni mweusi
PopomaUngekuwa na akili ungejua kuandika kiswahili ueleweke.
afu
amnaga
uko
Zanzibar hakuna CCM na hata akiwepo ni CCM mavazi tu mchana lakini usiku ni ACTKule HAKUNA Wana CCM, wale wote ni wapiga kura wa Lissu na kaagiza wampigie Maalim Seif.
Kama miaka yote wanafanya makosa iweje mwaka huu wasifanye makosa?Wazanzibar mwakahuu hawata Fanya makosa
Wamegundua kuwa kuwatesa watu manyanyaso uonevu kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani vimewagharimu sana Safari hiiIla CCM kuna message wameipata uchaguzi huu hata wasipokiri
Ni vile kesho atakuwa na kazi nyingi zinazohusiana na uchaguziSafi... Kupiga kura ni kesho, yeye anaenda leo kama nani?
Mwaka 2020 upo kivingine wazanzibar wana mwamko zaidi hasa baada ya CCM kuwapelekea mtu tokea Lindi Rufiji Tanganyika akawe Gavana Zanzibar kwa njia haramu na za kishetaniKama miaka yote wanafanya makosa iweje mwaka huu wasifanye makosa?
"CCM inashinda tarehe 27" kwa hiyo kura za leo ndizo za ushindi wa CCM. Zanzibar inavurugwa na such vurugu zitaharibu amani ya Tanzania.
Yupo kwenye kundi maalum la kupiga kura leo?Kwa nini akamatwe wakati anatimiza haki yake ya kiraia ya kupiga kura ?
Hilo beberu lenu Amsterdam halitasaidia chochote, linamsubiri boya wake liondoke nae 18 Dec.Haijafa ICC ipo endelea kuua watu Zanzibar utawaona soon
Kundi maalum ndio la kina nani?Hivi na yeye yupo kwenye lile kundi maalum linalopaswa kupiga kura leo?
Yeye kama mgpmbea je haruhusiwi kutembelea zoezi na upigaji kura aone kama haki inatendeka?Yupo kwenye kundi maalum la kupiga kura leo?
Majeshi ndio suruhu ya kututawala badala ya ridhaa yetu wananchi tulio wengi. Mmeshakosa kibali cha kutawala tuachieni nchi yetu.Kwani sisi tunawataka , toeni na nyie watu wenu hakuna kubembelezana.
Hata wewe ukitaka kukamatwa kafanye Kama alivyo fanya Maalim Seif utajua sababu.Anakamatwa kwa sababu gani?