Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema


Nawewe Jaribu kuwa na akili kidogo japo za kuazima.


Hivi Tanzania bara hakuna watu wa kazi maalumu? Kazi maalumu iyo ni ipi unayoizungumza ambayo Bara haipo ?



TUMIA AKILI JAPO KIDOGO.. WACHA UPUMBAVU MZEE
 
Kupiga kura Zanzibar ni kukamatwa? Polisiccm muogopeni mungu kuna maisha baada ya uchaguzi
Kama unajua kuna maisha baada ya uchaguzi mwambie huyo mzee kesho ndo siku ya kupiga kura na sio leo eboo.
 
Nawewe Jaribu kuwa na akili kidogo japo za kuazima.


Hivi Tanzania bara hakuna watu wa kazi maalumu? Kazi maalumu iyo ni ipi unayoizungumza ambayo Bara haipo ?



TUMIA AKILI JAPO KIDOGO.. WACHA UPUMBAVU MZEE
Kwanini iliwekwa siku2 za kupiga kura kwenye sheria ya uchaguzi Zanzibar?
 
Yeye kama mgpmbea je haruhusiwi kutembelea zoezi na upigaji kura aone kama haki inatendeka?
Hiyo ni kazi ya mawakala. Je ingekuwa ni mgombea Mwinyi kafanya hivyo na Maalim hajafanya mngeelewa?
 
Anaenda leo yeye ni mfanyakazi wa tume? Yeye ni mtumishi wa umma? Inatakiwa akae ndani hadi tumuapishe raisi wetu Mwinyi maana anajua kuwa hashindi bali anatafuta kuanzisha vurugu ambazo zinagharimu maisha ya watu.
 
Kuna njama za kuwateka mawakala wa upinzani na kuwaweka mahabusu saa 48 kwa amri ya DC. Msipoweka mifumo ya kujilinda itakula kwenu
 
F#ck ccm na wajinga wake wanaouwa wananchi Zanzibar.
 
Pia usishau kubeba pen na karatasi kwa ajili yakuandika wosia wa marehemu maana lolote linaweza kutokea.
 
Chadema ni watu wa vurugu na uongo
Maalim Seif S ni CHADEMA!?
Mimba zinazopatika kwenye mikesha ya mbio za mwenge ni janga kuu la Kitaifa. Tunashuku mwaka huu kutokana na ujio wa Covid 19,kizazi cha mbio za mwenge hakitakuwepo mwakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…