Kwa hiyo uchaguzi unaondelea leo hakuna mawakala WA vyama?.
Kwahiyo wapinzani wangesimamisha Mgombea urais yupi ambaye unahisi angeshinda ??
Mh. Jiwe alikuwa na uhakika wa kupata kura za ushindi tena mkubwa lakini kwa kitendo cha Viongozi wa ccm na uvccm walioharibikiwa mmeharibia mzee wa watu picha. Mie ni ccm ila nashindwaga kuelewa kwanini inashindikanaga kufanya siasa bila kuvunja miguu ya watu ???? [emoji24][emoji24][emoji24]
Aliyehamasisha ghasia ni Nani?CCM ndiyo wanaitafuta ICC The Hague siyo maalim seif acha kutengeneza mazingira ya kuwabambikia kesi kesi uonevu kama kawaida yenu CCM ya kishetani
atakua kajiteka kama mazrui juzi
maalim kalala nyumba ndogo huko mnasema kakamatwa na polisi kwani zanzibar hakuna michepuko
Aliyehamasisha ghasia ni Nani?
mchague mwinyi mkuu kwa maendeleo ya zanzibar alafu maalim anaumwa hawezi kutawalaWewe uko serious au hayakufika wewe ?? Sisi tulioshuhudia mauwaji ya majeshi wavamizi toka 1964 mpaka hivi sasa , UNATUTUKANA NA KUTUCHOMA MKUKI MOYONI
La muhimu tutakufa nanyi mwaka huu , au muondoke
Poleni, Kura zilizopigwa Leo ndio zitahesabiwa za kesho haziguswi.Wamekataliwa kuingia na ndio wengine wakapigwa risasi
Viongoz wa CHAUMMA Tupo mazikoni kwa wakala wetu aliyepigwa risasi Jana Usiku majira ya saa 6 usiku katika kituo cha kupiga kura skuli ya vitongoji Jimbo la wawi.
Wakala wetu wa CHAUMMA aliyeuawa anaitwa Muhammad khalfan Mjaka.
Maziko ni baada ya sala ya alasir Leo tarehe 27 /10/2020.
INALILAH WAINA ILAIHI RAJOIUN.
ALI OMAR JUMA
MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR -CHAUMMA
KATIBU MKUU - CHAUMMA
+255 772 674 080
Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema
Uyatafakari maneno haya ijumaa
mchague mwinyi mkuu kwa maendeleo ya zanzibar alafu maalim anaumwa hawezi kutawala
Mtajuta nyinyi wavamizi na vibaraka wenu mwaka huu
muungano chagua mwinyi mkuuWewe Mdanganyika yanakuhusu nini ya Zanzibar ??
Walevi mtakiona cha mtema kuniTii sheria bila shuruti utavunjwa kiuno
muungano chagua mwinyi mkuu
mkuu wapemba wenzenu waishio huku bara wanautaka hasa hawa wenye magorofa kariakooMvamiano hakuna anayeutaka , Lissu atawanyoosha vizuri
mkuu wapemba wenzenu waishio huku bara wanautaka hasa hawa wenye magorofa kariakoo
Walevi mtakiona cha mtema kuni
hatujawavamia mkuu tunatawala kwa haki na nyie mkishinda siro kasema atawatangaza so acheni fujoWapemba wako wengi si bara tu hata uingereza tena wana zaidi ya hayo majumba , mpemba gani alikuambia anapenda kuvamiwa ??
maalim seif yuko salama kalala kwa bi mdogo leo acheni uzushiFree seif #ZanzibarlivesMatter
chagua magufuli mkuu mitano tenaHili jitu la hovyo la chato linachokitafuta litakipata.