Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

hata wazanzibar wote wapigie kura upinzani bado atatangazwa Mwinyi kashinda Lengo ni kwamba mgombea wa upinzani ataki muungano ccm awawezi kumpa urais Maalim Seif Zanzibar labda kama angegombea mtu mwingine.

Na kama wameamua kukinukisha ndio itakuwa rasmi zanzibar ni mkoa wa Tanganyika kuwanzia uchaguzi huu
Na kama uliona jana wajeshi wanawapa kichapo raia. Ndio rasmi sasa Zanzibar itarudi Tanganyika kinguvu, tega sikio
 
Mwinyi atakuwa Rais wa jwtzcc Polisiccm magerezaccm Uhamiajiccm NECCCM Tumeccm Msajiliccm siyo Rais wa wazanzibar
 
Maalim Kuna Jambo analitafuta ...Uzee wake aumalize salama aisee
 
Serikali ya CCM mbona inatulazimisha kuipenda kilazima?.
Mwinyi atakuwa Rais kwa njia haramu za kishetani na atakuwa ni Rais wa jwtz, Polisi, Uhamiaji, magereza, Msajili, wakurugenzi siyo Rais wa wa Zanzibar
 
ICC Imeshakufa kitambo
Ww fanya fujo uone watakuuwa na hakuna cha Icc wala Asterdam
 
tunaomba sana damu za watanzania wenzetu zisimwagike, naaamini jeshi letu litashughulikia kila changamoto kwa weledi wa hali ya juu. tunafahamu ktk uchaguzi huwa hapakosi watu wanaopenda kupima nguvu ya dola.
Jeshi kwa sasa hawafanyi kazi kwa mjibu wa katiba na Sheria bali wanafanya kazi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu kaburu Mkoloni mweusi na polepole
 
Kwani upigaji kura kwa wananchi wa kawaida ni lini huko Zanzibar?
Hiyo Zanzibar CCM mnatakiwa kui handle with care, hizo mbinu zenu za mwaka "47 za kuiba kura zimeshapitwa na wakati, nimeanza kuona picha za maiti huko Zanzibar, huu ni wakati wa kutumia akili sio manguvu yasiyo na maana mtasababisha maafa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…