Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unajua chanzo chake...inasikitisha Nani Sasa...unajuaje labda Seif kamtemea mate usoni askari bila sababu..etcInasikitisha! Inasikitisha! Inasikitisha sana!
Umejuaje ka anatakiwa kwenda kupiga kura kesho wakati majina ya wanaotakiwa kupiga kura Leo hayajabandikwaSafi... Kupiga kura ni kesho, yeye anaenda leo kama nani?
CCM imesimamia amani tangu mwaka 1961,. No doubtCcm amani mnaichezea hii.
Kwani kundi maalumu ni wakina nani?Hivi na yeye yupo kwenye lile kundi maalum linalopaswa kupiga kura leo?
Mambo ya Zanzibar ni shida. Mwaka huu damu nyingi zaidi inaweza kumwagika kuliko kipindi kile cha Salmin Amour. Kila mtu anapaswa kutimiza wajibu wake.
Amejiandikisha kupiga kura leo?
Hata nyie ma ccm mnaiweza.Kazi ya Mungu hiyo
CCM imesimamia amani tangu mwaka 1961,. No doubt
Kwann Zanzibar kura zipigwe siku mbili tofauti na bara sikumoja ukizingatia Zanzibar ni eneo dogo Kama mkoa.
Huyo unayemjibu huko alipo amekalia tango bichi lenye miiba.Aliyeandika tweet ni Zitto lkn, sio Mbowe wala Lissu. [emoji2781][emoji2781]
Hao wanaopiga leo ni nani? Tuanzie hapoSafi... Kupiga kura ni kesho, yeye anaenda leo kama nani?
Hivi na yeye yupo kwenye lile kundi maalum linalopaswa kupiga kura leo?
Mambo ya Zanzibar ni shida. Mwaka huu damu nyingi zaidi inaweza kumwagika kuliko kipindi kile cha Salmin Amour. Kila mtu anapaswa kutimiza wajibu wake.