mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
HAMNA MTU ANAYEWEZA KUZUIA HAKI YANGU YA KUFA-Rais Jumbe(Zanzibar).Kufa kwa Wazanzibar awataanza kufa leo
Wameshakufa sana na wengine vilema mbaka leo
Seif hata kovu hana
Na maisha yanaendelea
Vihele hele katika siasa uwa wa kwanza kutangulia kaburini seif anakuja kukaa mezani na dr Mwinyi anapewa umakamu wa rais maisha yanaendelea
Karai ushatangulia kaburini seif umemuacha uswahilini anakula bata