Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

Dear Maalim and your core supporters, here is your message. Uchaguzi huu ni ama unatangazwa rais kwa gharama yo-yote au unaishia jela maisha. Enough is enough. Usikubali kushindwa kiboya. You have suffered a lot. You have tolerated a hundred dhuruma. Tangu 1995 hadi muda huu mnalazimishwa kuwa katika fungu la losers.

Maisha yana maana gani tena kwako. Kama ni kifo wacha wakuue muda huu Dunia ijue na Historia itakuhukumu vyema. Usisubiri ufe kwa uzee au kwa maradhi, ni bora ufe katika mkondo wa mapambano.

Dear Maalim, please and please and please...Ninaongea na wewe Maalim na wafuasi wako. Keep the fighting tight, right?
 
Hiyo ni kazi ya mawakala. Je ingekuwa ni mgombea Mwinyi kafanya hivyo na Maalim hajafanya mngeelewa?
Kwann mwaka huu tu ndo waweke utaratibu huu? Kwa nini Tanzania Bara hakuna hio??
. Jibu wewe dilekccm uchwara.
 
Kazi ya Mungu hiyo
Mlipopiga lisu risasi kumuuwa amkujua kama kazi ya MUNGU?. Mmeuwa kina Ben saanane ile ilikuwa kazi ya MUNGU sio?.Damu za watu mtadaiwa tu mtake msitake. Maana imeandika MUNGU ataitaka damu ya mwanadam aliyeuwawa mikononi mwa wauwaji. Mjiandaye kuipeleka Kwa mikononi yenu.
 
Itendee haki nafsi yako kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi kwa mabaya yote uliyotendewa na Utawala huu dhalimu.Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.
 
Mlipopiga lisu risasi kumuuwa amkujua kama kazi ya MUNGU?. Mmeuwa kina Ben saanane ile ilikuwa kazi ya MUNGU sio?.Damu za watu mtadaiwa tu mtake msitake. Maana imeandika MUNGU ataitaka damu ya mwanadam aliyeuwawa mikononi mwa wauwaji. Mjiandaye kuipeleka Kwa mikononi yenu.
Watatangulia wao kabla yake madhalimu yote na vibaraka vyao waliotaka Lisu atangulie kabla yao kwa ajili ya matumbo yao
 
Mithali 34:14
Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote

Pia imenenwa kuwa AMANI NI ZAO LA HAKI

Tunapaswa kama Taifa tujiulize je HAKI tunaitenda wakati tunahimiza tudumishe AMANI?
Ni Mithali 14:34
 
Maalimu hafungwi jela na MTU yeyote nchi hii alishindwa Nyerere ije iwe huyu kinyago
 
Dear Maalim and your core supporters, here is your message. Uchaguzi huu ni ama unatangazwa rais kwa gharama yo-yote au unaishia jela maisha. Enough is enough. Usikubali kushindwa kiboya. You have suffered a lot. You have tolerated a hundred dhuruma. Tangu 1995 hadi muda huu mnalazimishwa kuwa katika fungu la losers.

Maisha yana maana gani tena kwako. Kama ni kifo wacha wakuue muda huu Dunia ijue na Historia itakuhukumu vyema. Usisubiri ufe kwa uzee au kwa maradhi, ni bora ufe katika mkondo wa mapambano.

Dear Maalim, please and please and please...Ninaongea na wewe Maalim na wafuasi wako. Keep the fighting tight, right?

Hahaha nimependa hiyo kwamba ,, kama ni kifo na wakuue muda huu '' wewe ni lazima utakuwa ni psychopath, ...
 
Back
Top Bottom