Uchaguzi 2020 Maalim Seif anapodai "Mamlaka Kamili" anamaanisha kuvunja Muungano?

Uchaguzi 2020 Maalim Seif anapodai "Mamlaka Kamili" anamaanisha kuvunja Muungano?

Maana yake nini?

Kama nchi iko kwenye muungano na nchi nyingine, inaweza kudai kuwa na "mamlaka kamili" bila kuathiri muunganio huo?

Maalim, mgombea urais wa Zanzibar anapodai kuwa na mamlaka kamili, ana maana lengo lake ni kuuvunja muungano?

Akichaguliwa atachukua hatua zipi kuuvunja muungano.

Je, CHADEMA wana maoni gani kuhusu jambo hili? Na huko mbeleni, kama sera yao ya "Majimbo" itakuwa imetekelezwa endapo watapata ushindi, itakuwa halali kwa jimbo fulani kujichukulia "Mamlaka Kamili", kuachana na majimbo mengine?

Ni nini ushiriki wa wananchi katika uamzi wa kuuvunja au kutouvunja muungano, au inatosha tu kwa Maalim kuchaguliwa kwa sera hiyo kuchukua uamzi wa kuuondoa Muungano?

Maalim Seif anaifanya kazi ya Tundu Lissu kuwa ngumu zaidi wakati huu wa kampeni.
Pande zote 2 hazitaki Muungano. ZNZ wanasema tunawakalia kimabavu na tunawachelewesha kupata maendeleo yao wakati Tanganyika wanadai wanabeba gharama za kuiendesha Serikali ya ZNZ.

Muungano umefeli upigwe chini tu kama miungano mingine tu duniani mfano USSR, Yugoslavia etc. Kuna watu wanasingizia eti ACT inataka kumrudisha Sultani Jamshid Zanzibar. Jamshid anaanzia wapi kurudi? Kwanza unajuwa umri wake ni miaka mingapi na yuko wapi sasa? Ni kibabu cha miaka 91 na kilikuwa kinaishi Portsmouth Uingereza kama mnufaika wa utawala wa Malkia wa Uingereza (Subject of British Empire), last month ndiyo kimeruhuswa kurudi Oman kusubiri maka yake ya mwisho.

Tupige referendum, wananchi waamue
 
Sijakuelewa hapa,yaani faida ya kibiashara ni kwa Bakhresa kuwa na Wapemba wengi kwenye Biashara zake?
Wale wapemba anaowaajili itabidi waombewe na kulipiwe vibali kama watakubaliwa kuwa kazi wanazofanya hakuna mtanganyika mwenye sifa ya kufanya hizo kazi
 
Kwani sasahivi tuko kwenye muungano gani kama kila mmoja ana jeshi lake, mahakama zake, bunge lake, na serikali yake?

Tanzania hakuna muungano wowote, ni maigizo tu, na mbaya zaidi ni muungano wa kulazimishana, wengine wanautaka, wengine hawautaki.

Tatizo lililopo Zanzibar ni makundi; kuna wapemba na waunguja, wakati wapemba wakitaka kuwa huru, waunguja wanaona sifa kuendelea kuwa kwenye muungano kwasababu wao ndio wanaounda serikali kwa msaada wa Bara, mpaka pale hayo makundi mawili hatakapoungana, Zanzibar itaendelea kuwa chini ya Tanzania Bara.
 
Tunataka Zanzibar huru yenye mamlaka kamili. Zanzibar ni nchi yenye watu wake, mipaka yake na sheria zake kabla hata huu muungano haujatengenezwa.

Muungano ni koti tu, tukilichoka tunaweza kulivua. Tusilazimishwe kile ambacho hatukitaki.
Sasa kwanini mnakosa uhuru wakati mna kila kitu kama ulivyoorodhesha hapo juu? tatizo ni lenu wenyewe, mmeshikiwa akili na Bara, hamjiamini tena, na ndio maana hata Rais wenu anatokea Dodoma.
 
Pande zote 2 hazitaki Muungano. ZNZ wanasema tunawakalia kimabavu na tunawachelewesha kupata maendeleo yao wakati Tanganyika wanadai wanabeba gharama za kuiendesha Serikali ya ZNZ.

Muungano umefeli upigwe chini tu kama miungano mingine tu duniani mfano USSR, Yugoslavia etc. Kuna watu wanasingizia eti ACT inataka kumrudisha Sultani Jamshid Zanzibar. Jamshid anaanzia wapi kurudi? Kwanza unajuwa umri wake ni miaka mingapi na yuko wapi sasa? Ni kibabu cha miaka 91 na kilikuwa kinaishi Portsmouth Uingereza kama mnufaika wa utawala wa Malkia wa Uingereza (Subject of British Empire), last month ndiyo kimeruhuswa kurudi Oman kusubiri maka yake ya mwisho.

Tupige referendum, wananchi waamue
Tatizo kuna watu hawataki muungano ila wanataka upendeleo kama hamtaki muungano tuuvunje kila mtu arudi kwao sio unasema mbona wakenya wapo bara kaa kwako na mimi nikae kwangu ukitaka kuja kwangu unakuja kwa masharti nayokupangia sio wewe unayonipangia
 
Maana yake nini?

Kama nchi iko kwenye muungano na nchi nyingine, inaweza kudai kuwa na "mamlaka kamili" bila kuathiri muunganio huo?

Maalim, mgombea urais wa Zanzibar anapodai kuwa na mamlaka kamili, ana maana lengo lake ni kuuvunja muungano?

Akichaguliwa atachukua hatua zipi kuuvunja muungano.

Je, CHADEMA wana maoni gani kuhusu jambo hili? Na huko mbeleni, kama sera yao ya "Majimbo" itakuwa imetekelezwa endapo watapata ushindi, itakuwa halali kwa jimbo fulani kujichukulia "Mamlaka Kamili", kuachana na majimbo mengine?

Ni nini ushiriki wa wananchi katika uamzi wa kuuvunja au kutouvunja muungano, au inatosha tu kwa Maalim kuchaguliwa kwa sera hiyo kuchukua uamzi wa kuuondoa Muungano?

Maalim Seif anaifanya kazi ya Tundu Lissu kuwa ngumu zaidi wakati huu wa kampeni.
Kwani WANANCHI walishilikishwa kwenye Muungano?
 
Zanzibar ina nafasi nzuri ya kuwa taifa lenye maendeleo makubwa ikijitenga kuliko sasa.
Lakini inaweza ikaendeleza undugu na Bara ikiwa nje ya Muungano.
Bara itafaidika zaidi Kibiashara ikiwa Zanzibar itajitenga,itauza bidhaa nyingi mno katika visiwa hivyo.
Wazanzibar soko lao kubwa liko bara watu hawajafika hata milioni tatu ambayo ni population ya Dar es salaam peke yake watauziana nini sanasana wataleta biashara huku na tutawatoza ushuru kama nchi nyingine yoyote ya kigeni
 
Watu wenyewe mchanga wa kuuengea inabidi waagize nje ya nchi, bahari kila siku inamega kisiwa chao ni heri warudi maana huku tandika, ilala na Kigamboni wamejazana kibao
 
Maana yake nini?

Kama nchi iko kwenye muungano na nchi nyingine, inaweza kudai kuwa na "mamlaka kamili" bila kuathiri muunganio huo?

Maalim, mgombea urais wa Zanzibar anapodai kuwa na mamlaka kamili, ana maana lengo lake ni kuuvunja muungano?

Akichaguliwa atachukua hatua zipi kuuvunja muungano.

Je, CHADEMA wana maoni gani kuhusu jambo hili? Na huko mbeleni, kama sera yao ya "Majimbo" itakuwa imetekelezwa endapo watapata ushindi, itakuwa halali kwa jimbo fulani kujichukulia "Mamlaka Kamili", kuachana na majimbo mengine?

Ni nini ushiriki wa wananchi katika uamzi wa kuuvunja au kutouvunja muungano, au inatosha tu kwa Maalim kuchaguliwa kwa sera hiyo kuchukua uamzi wa kuuondoa Muungano?

Maalim Seif anaifanya kazi ya Tundu Lissu kuwa ngumu zaidi wakati huu wa kampeni.
Kutoletewa Mgombea kutoka Dodoma, Lumumba/Chamwino, Wazanzibar waamue mtu wa kuwaongoza
 
Pande zote 2 hazitaki Muungano. ZNZ wanasema tunawakalia kimabavu na tunawachelewesha kupata maendeleo yao wakati Tanganyika wanadai wanabeba gharama za kuiendesha Serikali ya ZNZ.

Muungano umefeli upigwe chini tu kama miungano mingine tu duniani mfano USSR, Yugoslavia etc. Kuna watu wanasingizia eti ACT inataka kumrudisha Sultani Jamshid Zanzibar. Jamshid anaanzia wapi kurudi? Kwanza unajuwa umri wake ni miaka mingapi na yuko wapi sasa? Ni kibabu cha miaka 91 na kilikuwa kinaishi Portsmouth Uingereza kama mnufaika wa utawala wa Malkia wa Uingereza (Subject of British Empire), last month ndiyo kimeruhuswa kurudi Oman kusubiri maka yake ya mwisho.

Tupige referendum, wananchi waamue
Sultan karudi kwao Oman juzi akamalizie uhai wake uliosalia akiwa nyumbani.

Mimi sina tatizo kabisa waTanzania wakipewa fursa ya kuamua kuhusu hatma ya huu muungano.
 
Chuki yako inakufanya uwe kipofu

Una chuki na wapemba...

Muungano ukifa watu watachagua uraia wa nchi wanayotaka..

Hao wapemba wakiamua kuwa watanganyika hutaweza wazuia..wengi wao wamezaliwa ndani ya Muungano ... hutaweza walazimisha kurudi Zanzibar....

Chuki yako kwao haitakusaiidia lolote
Wapemba ndio wanadai hawataki muungano sasa nani wana chuki, kama wamezaliwa bara wao ndio walitakiwa kueleza faida za muungano lakini kama hawaoni faida basi tuvunje warudi kwao ndio maana nasema wao chao ni chao ila cha kwetu cha wote
 
Kutoletewa Mgombea kutoka Dodoma, Lumumba/Chamwino, Wazanzibar waamue mtu wa kuwaongoza
Hii ndio maana ya "kuwa na mamlaka kamili?" Hata mimi ningependa iwe hivyo, na sioni kuwa hili litasababisha muungano kuvunjika.
 
Wazanzibar soko lao kubwa liko bara watu hawajafika hata milioni tatu ambayo ni population ya Dar es salaam peke yake watauziana nini sanasana wataleta biashara huku na tutawatoza ushuru kama nchi nyingine yoyote ya kigeni
Kabla ya huo uvamizi ,Wazanzibari wakiishije?
 
Mbona wakenya wamejaa na wamalawi wamejaa na warundi wamejaa...na hakuna Muungano?
Hujawahi kusikia wanarudishwa kama wahamiaji haramu, hivi kuna mtu wa bara anaweza kumiliki ardhi zanzibar lakini wao wamepata fursa hiyo kupitia muungano hata huyo Seif anamiliki nyumba bara sasa kama faida zote hawazioni watoke kwenye muungano waone tofauti ya kuwa ndani na nje ya muungano.
 
Kama hamtaki muungano kitu gani mnataka bara kila mtu apambane na hali yake na rasilimali zake
La msingi ni kuwa ili kushirikiana siyo lazima uwe na muungano. Wachumi watakuambia kuwa investmets na trade huinua nchi. Kama koti la muungano linakubana, unaliweka kando na kuangalia options nyingine.
 
Bakhresa ana viwanda Kenya , Uganda , Zimbabwe na nchi nyengine za kiafrika mbona hatusikii kuhusu mambo ya Muungano ??

Kuwa na mali nchi nyengine sio kigezo cha kulazimisha watu waungane.

Huu muungano wetu si muungano ni Uvamizi wa Laanatullahi Nyerere aliouita muungano.
Kuna tofauti unapowekeza kama raia au mgeni, ukiwa raia kuna vitu vingi utapendelewa
 
Bara kwa kiasi kikubwa ni mwathirika wa muungano kwanza Zanzibar hawatoi mchango mkubwa wa kuendesha serikali ya muungano, wakati mbunge wa bara anachaguliwa na watu kuanzia laki na kitu wao wanachaguliwa na wananchi kati ya elfu tatu hadi sita
 
Kama koti la muungano linakubana, unaliweka kando na kuangalia options nyingine.
Tafakuri makini juu ya msemo huu inahitajika. Kulinganisha mambo mazito yanayohusu nchi na kote la mtu binafsi ni kukosa weledi.
 
Back
Top Bottom