Maisha yangu ni ya kawaida lakini sijanyimwa karibu kila hitaji muhimu na Mungu, hayo uliyouliza hapo juu, pigia mstari yotekama nilivotangulia kusema sijui maisha yako kwa sasa na kama ungeeleza hapa ningekupa ushauri kulingana na upeo wangu ila kwa sasa ngoja nikubaliane na maamuzi yako
Maisha yangu ni ya kawaida lakini sijanyimwa karibu kila hitaji muhimu na Mungu, hayo uliyouliza hapo juu, pigia mstari yote
Kwanini nipaniki mrembo?Mtoa mada hongera kwa ufundi wa kujibu maswali na kupangua hoja kwa utulivu kabisa bila paniki[emoji1787][emoji1787]
Barikiwa mkuuKwanini nipaniki mrembo?
Hawa woote nawajua, 99% wamejaa mentality za kingono ngono, wanafikiri nataka papuchi ya huruma.
Niko imara kuliko jana
Boss nisome vizuri;basi una moyo mwanaume mwenzangu kama umeamua kulea mimba ya mwanaume mwenzako !
je huyo demu huna wivu naye kabisa kiasi kwamba hata ukikuta ananyanduliwa na njemba nyingine we flesh tu ?
je ikitokea aliyempa mimba akageuka baadae na kudai damu yake kwako flesh tu au utaweka pingamizi ?
Ahsante, na mimi nimekupenda bure baba mwenye upendoWajua nakupenda buree
Nimejaa tele, uwezo na sababu za kupenda ninazo.Ahsante, na mimi nimekupenda bure baba mwenye upendo
Endelea na moyo wako huohuo mkuu wala wasikutishe hawa wapiga kelele wa humuNimejaa tele, uwezo na sababu za kupenda ninazo.
Kila kitu kinachofanyika kina sababu nyuma yake Khantwe
1. Nakumbuka marehemu mama yangu alikuwa akiniusia kila mara "mwanangu Mswati52, uwaheshimu wanawake wote wakubwa na wadogo sawa na mimi mama yake, usitamani kuona akilia kwa ajili yako" hili ninaliishi sana.
Baada ya hapo nimeishi katika jamii inayomheshimu sana mwanamke...sio shiti kantri Tanzania hii amabayo kila siku wanawake wanadhalikishwa.
Background yangu inanivuta....hawa wapiga kelele humu nawaacheeeeka tena kwa dharau.
Nina siri nzito moyoni kwa kuwaheshimu wanawake. Nimejaa baraka tele sababu yao.
Nina amani, furaha nk.
Hakuna wa kunitisha[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo unawachora tuNinachosikitika wspo nawajua personally...id tu imetutenga[emoji16]
Mtu unayejua life yake na sometime anahitaji assist yako lkn hapa mjuuuvi[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kazi ipoVibaya mno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Melo mwanaume sana kwa kuleta jukwaa hili
Njoo tulee wakwangu . Nina wanne sijui utaweza . ππππππhongera sana mkuuu..jalali akujaalie, i wish ningekuwa na rafiki singo maza na mimi nifanye kama wewe!!