hahahah aisee kumbe kuna raia zina compete 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaah sema huyu naye kuna uzi nilikuta anamjibu mtu kuwa vita vyangu anayeviweza ni Extrovert tu hata yeye mwenyewe huwa anakaaga pembeni eti wengine wote nawapigaga KO ila Extrovert ndo naendaga naye sambamba daah yaani mimi huwa najaribu kuwaelewesha kumbe wenzangu wanaonaga kama vile tupo kwenye ligi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo mkuu unataka kusema kwamba mfano leo hii mahari ikafutwa kabisa mtaacha kuwatawala na kuwamiliki wanawake si ndiyo?
Why?[emoji16] I wish i kudu be IGP
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]hapo sasa...feminist my foot[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaonekana feminist.
thus y i lov yuTukamilishe timu ya netball kabisa babe
hahah sawa sawa, huyo kaboom sijui kabomu atafute pa kwenda hati nayo mimiMwambie ukipanda mazao kwenye shamba la mtu mavuno ni ya mwenye shamba
sasa unamkatalia jambo lililo ndani ya uwezo wake ili iwejeKwamba kuzaa watoto wengi ndo kunamfanya mwanaume atulie?
Dayumn!!! Sounds like Hillary Clinton in ds muhfukka
fo real!Why? Because she is also a Democrat?
hahahah aisee kumbe kuna raia zina compete [emoji23][emoji23][emoji23]
hata kama haitakuwa hivyo kwa 100% lakini hali hiyo ya kumilikiwa itapungua kwa kiasi kikubwa sana.
swali sasa je, mko tayari kukubali kuolewa bila mahari?
I am also a democrat and even if I was a man I would be the same to womenfo real!
Kama hizi mahari ndo zinafanya mtunyanyase hivi basi hata sioni umuhimu wake na ingekuwa ni amri yangu ningefuta kabisa hizo mahari kwanza sijui hata zinakuwaga na msaada gani kwa hao wanaozipokea kama ni pesa mimi naonaga hazina tofauti na za mkopo wa chuo yaani hazikaagi muda mrefu na unakuta hakuna cha maana ulichozifanyia
i feel ya!!!I am also a democrat and even if I was a man I would be the same to women
usiwaze mamii,Ofcourse yes mtu kaona kaishiwa hoja anaamua kuja kusema mimi feminist sijui nataka usawa mara napenda kushindana tena sifai kuolewa kimeenda kimerudi kimepanda kimeshuka blah blah blah yala yala yala then I'm like nigga wtf
Ni kweli na hizo sababu nyingine ni zipi?mahari a.k.a bride price a.k.a loboa a.k.a uforusu a.k.a ni aina nyingine ya udharirishaji wa mwanamke, ndio maana feminists wengi hawasapoti suala la mahari
Mwanamke anakuwa hana tofauti na mandazi.
Mahari sio sababu pekee ya wanawake kuwa dominated na wanaume zipo sababu nyingi zaidi ya hizo.
Ni kweli na hizo sababu nyingine ni zipi?