Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Umeandika vya maana
Kama ni mwanamke alie ajiriwa ni vyema mwanaume uwe msikivu kwa mwenzako pale anaposema mzae kwa mpango...koz wanawake wanapitia changamoto nyingi sana anapokua na watoto wengi huku pia kazi zinamsubiri, huwezi kumwambia mkeo akae nyumbani tu akuzalie kuna kesho unaeweza ukaondoka hapa duniani ukamuacha kwenye kipindi kigumu ...mwanaume muelewa ataelewa hili
 
Dada hata uzae kila mwaka hapawazuii kuzaa nje.[emoji23][emoji23][emoji23]. Wengine wanataka wajaze dunia na hela ya kulea watoto hawana.

Naomba Msemaji mkuu wa wanawake (utani ) Edelyn akitoa mawazo yake uniite.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Edelyn sijamuona kabisa leo, itakuwa naajiandaa na w.end.

Yaani hao ambao huwa wanataka idadi kubwa ya watoto huku yeye mwenyewe hajiwezi ndio huwa siwaelewi kabisaaa.
 
Kwani comment ile umeiona??? You have wrongly understood me[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimeiona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe unadhani jibu langu la kibabe lime base wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom