Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Mwanaume ndo anapanga watoto wangapi mzae, huwezi ukataka watoto saba wakati mshahara wako unatosha kuwahudumia watoto wawili tu.
 
Nadhani pia na uzazi unachangia au malengo .
Maana matajiri wengi huwa wana watoto wachache sana. Sasa sijui ndiyo siri ya utajiri.

Lakini sie akina nanilii watoto tunajaza Kimbinyiko na bado hata kuwasomesha , chakula mavazi na malazi hatuwezi.
Sasa kama mke mzuri kama wewe unafanyaje kama sio kutengeneza new pipo in town😂?

Mtoto hachoshi na hela ipo vizuri, ni mwendo wa pachu pachu kwa ukaliii!
 
Apa kama vile umeweka mfumo dume haya mambo ni watu wawili sio mwanaume tu kumbuka we unatoa mbegu tu[emoji41][emoji41]
as long as tutaendelea kutoa mahari hili tuwaoweni nyinyi, mfumo dume haukwepeki mkuu.

Hivi unafahamu ninapotoa mahari nakuwa ni kama nimepewa umiliki kwako, sasa kivipi nipangiwe nini cha kufanya na kitu ambacho ni mali yangu?
 
Uko sahihi kabisa idadi ya watoto watu wanayopata ni Mungu ndo anayeipanga maana kuna watu wanapanga kuzaa watoto wawili lakini katika tendo wanajikuta mimba nyingine zinaingia na hawawezi kutoa hivyo wanaendelea kuzaa tena pia kuna watu mimba nyingi wanazopata zinatoka wanajikuta katika mimba sita walizopata nne zimetoka na mbili ndo zimekubali kuzaliwa

Na kuna watu wanapanga wazae watoto nane lakini wanapata wanne au pungufu halafu vizazi vinapata matatizo na wanashindwa kuendelea kuzaa tena au pia wanaweza kuzaa hao watoto nane kama walivyopanga lakini wawili au zaidi wanakufa wakiwa wadogo kwahiyo hata mimi naona ni Mungu ndo anayepanga maana kila mtu anazaliwa na kusudi lake hapa duniani
Cha msingi ni kwamba wote walipanga idadi fulani kwanza.
Tunapanga huku tunamwomba Mungu awezeshe, mengine ni mipango yake.
 
Yaani sijui walitoa wapi hiyo formula ya mtori[emoji23][emoji23]
Bad dieting, hivi wachaga nani alisema mtori ndio chakula cha mzazi tu jamani halafu ikawa kama SI Unit ya walojifungua wote [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenikumbusha rafiki yangu wa kichaga maandalizi ya kujifungua ni mafuta ya kula lita 40 na vitu vingine[emoji134][emoji134]
Hadi ugali unawekwa mafuta, alitoka uzazi anatembea kama roboti.
Duuh hadi Ugali mafuta? Mimi ningekataa[emoji3]
 
Wanajf kuna jambo limenifanya niilete hii mada kwenu.

Kuna kaka alihitaji na alipendelea kuwa na watoto watatu, na walikubaliana na mkewe wawe na watoto watatu Mungu akiwajaalia.
Baada ya mkewe kujifungua mtoto wa pili akamwambia mumewe asingeweza kwenda leba tena(alijifungua kwa njia ya kawaida na hakukuwa na complications zozote).

Mume alihisi ni kwavile ametoka kujifungua ndio maana anasema hivyo, lakini baada ya miaka mi4 kupita bado msimamo wa mkewe ni uleule, amemwambia ikiwa ni lazima apate huyo mtoto wa tatu anamruhusu kwa roho safi tu akamtafute.

Naomba kuwauliza haswa wanandoa, maamuzi ya idadi ya watoto mnaohitaji kuwa nao huwa ni ya nani? And how if kila mmoja akawa na idadi yake ya watoto anaohitaji inayotofautiana na mwenzie?

Na wanawake utafanya nini ikiwa mumeo anahitaji idadi kubwa ya watoto tofauti na matakwa yako?
Sijui unaongelea aina gani ya familia?
Ikiwa ni patrineal, basi muamuzi hapo ni baba.
Kitu kingine kwenu wanawake acheni kuzibiana riziki kuna wanawake wanaweza kufyatua watoto kama matofali waachieni hao hizo ndoa.
Wewe uliambiwa mapema watatu mkakubaliana tena unaleta hadithi.
Mnajua madhara ya kuoa mke wa pili kama hukupanga?
Pumbavu sana

Unapoolewa umeenda kuzaa, kutengeneza familia sio lingine,
Huyo anatakiwa apigwe suspension siku akirudi anamkuta mwengine mjamzito ndani na ndoa imefungwa
 
Back
Top Bottom