Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke hana usemi ktk hilo?
Maybe anaona hao ndio arawahudumia vizuri kwa nafasi maana matunzo ya watoto sio pesa tu, na muda wako wanauhitaji.Huwa nashangaa sana,unakuta mtu ana uwezo wa kuwatunza hata watoto 100 lakini anakuwa nao wawili tu au wa nne (Mengi &Obama)
Ndio maana unanisema waziwazi... [emoji2377]We si umeninyima[emoji57][emoji57][emoji57]
Aisee akitoka hapo presha inapiga hodi.Umenikumbusha rafiki yangu wa kichaga maandalizi ya kujifungua ni mafuta ya kula lita 40 na vitu vingine[emoji134][emoji134]
Hadi ugali unawekwa mafuta, alitoka uzazi anatembea kama roboti.
Duuuh!! Mkuu umeamua umalizie na tusi[emoji134][emoji134]Sijui unaongelea aina gani ya familia?
Ikiwa ni patrineal, basi muamuzi hapo ni baba.
Kitu kingine kwenu wanawake acheni kuzibiana riziki kuna wanawake wanaweza kufyatua watoto kama matofali waachieni hao hizo ndoa.
Wewe uliambiwa mapema watatu mkakubaliana tena unaleta hadithi.
Mnajua madhara ya kuoa mke wa pili kama hukupanga?
Pumbavu sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimependa hilo jina.
HahahahaAsante kwa kuja nimetoka kukuulizia sasa hivi.
Hallelujah..!!!Shukrani pia kwa kongole zako...
Sawa mpendwaUle mwili wa uzazi sasa hivi ndio anapambana nao.
Kuna nortion wanayo eti hayo mafuta ndio yanasafisha tumbo la uzazi[emoji1745]
Puchu puchu ni nini kwani Extrovert?Sasa kama mke mzuri kama wewe unafanyaje kama sio kutengeneza new pipo in town[emoji23]?
Mtoto hachoshi na hela ipo vizuri, ni mwendo wa pachu pachu kwa ukaliii!