Hapana jamani. Nimesha respondNikasema huyu mtoto kuna anachonitafuta sio bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana jamani. Nimesha respondNikasema huyu mtoto kuna anachonitafuta sio bure.
Hapana si niliona siku amekuambia.Hahahaahahahah!
Wewe umejuaje??? Mdogo wako???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu tutengeneze ukoo wa kambale siyo?Tafuta pesa mamaaaaaa
Ni kweliMaybe anaona hao ndio arawahudumia vizuri kwa nafasi maana matunzo ya waroto sio pess tu, na muda wako wanauhitaji.
Bora umempa elimu huyu Kiumbe.Kuzaa kunamfanya mwanamke achoke Mkuu??
Sidhani, mwanamke akiwa na nidhamu ya kula na mazoezi toka akiwa na mimba mpaka kujifungua hata azae watoto 4 shape inabaki pale pale.
Ni kweli mkuu ukiona mtu analazimisha kuzaa na wewe kuna kitu kimemvutiambali na utani pia kuna ukweli kwenye hiki ulichokiandika
ha ha ha ha ndio maana tunashauriwa tuchague mbegu bora;kama shambani tunachagua mbegu bora,mifugo tunachagua mbegu bora.....je sisi binadamu tumekuwa kina nani tusichague mbegu bora?Eti enh? Unasema uongeze vingine halafu vinatoka vibayaaa bado utaendelea kukariri?
ha ha ha ndio mnapata watoto mnaanza kuwakataa.....katoto kakiwa kazuri unatamani hata kwenda naye kazini au katika mihangaiko yako,tofauti na hapo mnaanza kurushiana maneno nani ambebe mtoto..Yeleuwiiiiii[emoji134][emoji134][emoji134]
Hapana jamani, tunatakiwa tudilute kidogo ili hali ya hewa isichafuke. Msitufanyie hivyo.
Sasa mkeo hawezi kukushauri ubadilishe maamuzi ya idadi ya watoto unaowataka? Unajua Mungu alisema mwanaume amtawale mwanamke akaishia hapo lakini kumbuka kuna aina tatu za utawala kuna Dictatorship, Democracy na Laissez-Faire na Mungu hakuwaambia wanaume mtumie ipiMwanamke anakuwa ni mshauri mkuu wa mwanamme na ni mtunzaji wa watoto! Mnajifanya watu wa dini halafu majukumu yenu ya kidini hamyataki.
[emoji1488][emoji1488][emoji1488]Hallelujah..!!!
ha ha ha ha mkuu una imani sana.....Sasa mkeo hawezi kukushauri ubadilishe maamuzi ya idadi ya watoto unaowataka? Unajua Mungu alisema mwanaume amtawale mwanamke akaishia hapo lakini kumbuka kuna aina tatu za utawala kuna Dictatorship, Democracy na Laissez-Faire na Mungu hakuwaambia wanaume mtumie ipi
Lakini wakristo wengi tunaamini kwamba alitaka mtumie kama anayoitumia yeye katika kututawala sisi hivi unajua kwamba Mungu anatumia Democracy katika kututawala binadamu hata yeye anataka tumtii lakini bado katupa uhuru na naweza kusema katika viumbe vilivyopewa uhuru mbinguni na duniani ni binadamu na ndo maana tunatenda dhambi
Lakini hata malaika hawana huu uhuru kama tuliopewa sisi wao kila wanachoambiwa wanatakiwa kukubali na ndo maana hawatendi dhambi lakini sisi binadamu tumeambiwa vingapi na Mungu na tumekataa na anatusamehe?
Sasa ninyi wanaume mnadhani kwamba kwa sababu eti sisi tumeambiwa tuwatii basi ndo tunatakiwa kukubali kila kitu mnachosema na hatutakiwi kuwapinga hapana haiko hivyo sasa hapa najua tunaweza tukabishana kwa sababu ya utofauti wa imani zetu ila mimi sitaki kubishana mimi nimekwambia tu hivyo kutokana na mafundisho ya kikristo ila kama uislam umewafundisha wanaume muwatawale wake zenu kupitia Dictatorship basi sawa haina shida
Basi kumbe si mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi nimekusema jamani[emoji85][emoji85]
[emoji2097][emoji2097][emoji2097][emoji2097][emoji2097]
Kwa kweli maana Zari ana vichwa tano ila ni mrembo kuliko hata vinara wengi wa kuchoropoa mizigo waliopo hapa mjini.
Getting out of shape doesnt have any connection with bearing babies.
Yeah hilo nalo nenoCha msingi ni kwamba wote walipanga idadi fulani kwanza.
Tunapanga huku tunamwomba Mungu awezeshe, mengine ni mipango yake.
[emoji2210][emoji2210][emoji2088][emoji2088][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji849][emoji849]
Kwahiyo hakuna mjadala katika hilo?
I seeha ha ha ha ndio maana tunashauriwa tuchague mbegu bora;kama shambani tunachagua mbegu bora,mifugo tunachagua mbegu bora.....je sisi binadamu tumekuwa kina nani tusichague mbegu bora?
Sawa bossas long as tutaendelea kutoa mahari hili tuwaoweni nyinyi, mfumo dume haukwepeki mkuu.
Hivi unafahamu ninapotoa mahari nakuwa ni kama nimepewa umiliki kwako, sasa kivipi nipangiwe nini cha kufanya na kitu ambacho ni mali yangu?
ha ha ha ha haI see