Mfano upo hapa hapa kwenye huu uzi ni mmoja tu aliwahi panda tahmeed na hajapanda tena mpaka leo na ni watu wawili au watatu ndio waliotoa coment kuzijua izi basi...wengi wanakimbilia bm kilimanjaro mara osaka [emoji3]Labda imefungiwa kabatini [emoji38]
Mkuu mimi nilipanda hilo bus toka Dar kwenda Tanga, lakini bado sikupata the real comfort ya luxury bus kama za wenzetu ughaibuni, hiyo unayosema inaonjeshaonjesha tu kiongoziMfano upo hapa hapa kwenye huu uzi ni mmoja tu aliwahi panda tahmeed na hajapanda tena mpaka leo na ni watu wawili au watatu ndio waliotoa coment kuzijua izi basi...wengi wanakimbilia bm kilimanjaro mara osaka [emoji3]
Kweli kabisa hakai na gari mda mrefu, Kuna faida yake akishaipiga tu analitoa chap kabla halijaanza kudai spare/ gerejiIla nachomkubali shabiby ana basi nyingi zenye choo ndani......na ni muuzaji mzuri tu akishalitumia miaka kadhaa na kulichoka
Zenji Raha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna ma bus mengi hayana maliwato wala sehemu ya kulala.?Luxury bus ni basi lenye huduma za anasa yaani luxury. Upya wa basi sio suala la lazima. Not necessary!
Huduma za anasa ni kama vile; Wi-Fi, kiyoyozi (AC), chakula na vinywaji, runinga, kitanda cha kulala, maliwato n.k.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huku bongo basi likiwa na uwezo wa kugawa soda na biskuti linakuwa Luxury
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kipindi fulani yalikua yanaenda mwanza, tobaaaaah hadi kunguni na chawa wamejaa kwenye seat ngooooh. KhaaaaahHili halizingatiwi. Juzi kati baada ya kukosa magari yote sijui yalikuwa yamekodishwa kwenda wapi nimepigwa vibaya kuambiwa ni luxury nauli 33,000 Arusha Dar.
Kuingia ndani nusu nizimie basi chafu ni kama halijawahi kufanyiwa usafi, halina service yoyote..unaambiwa linaondoka saa 12 lkn linaondoka masaa matano baadae.
Nauli kila mtu kalipa tofauti..
Tupo tuliopigwa 33, wengine 25, 22 hadi.17.
Kundoka Arusha saa 2 asb kufika dar saa 5 usiku.
Osaka Express pambav zenu.
Hapa umenena kabisaaaah.Afadhali hata wewe ulipata ofa ya chungwa. Kwanza mi nisingepokea kwa uchafu ule.
Wanaoharibu ni wapiga debe..kupandisha nauli ili wao wapate cha juu. Kwenye usimamizi wa mabasi bongo bado sana.
Mimi ningeshauri luxury wawe na stand yao, semi luxury ya kwao na hayo mengine ya kwao. Ili mtu ukienda stand fulani unajua kabisa naenda kukutana na bus la aina gani.
Ndiyo maana yanaitwa ordinary meaning ya kawaida, ila yanayojadiliwa hapa ni kwamba hata hapa nchini hayapo, ila latra na jamaa zao wanatuaminisha kuwa ndiyo hayoooooo ya kichinaMbna ma bus mengi hayana maliwato wala sehemu ya kulala.?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
huku bongo basi likiwa na uwezo wa kugawa soda na biskuti linakuwa Luxury
Gari la sifa izo tz halipo, magar meng ni semi luxuryMuundo wa gari kuanzia nje hadi ndani, pamoja na huduma extra luxurious wanazotoa kama Wi-Fi, drinks & snacks, charging sockets, ample and comfortable seat space, air conditioning, Na pia usisahau jinsi gari linavyoendeshwa kuanzia point A hadi B. Hayo yote ndio yatakueleza bus/coach hilo ni ordinary, semi-luxurious, au luxurious.
[emoji23][emoji23] lakn ni si ni ulifika mkuuJana nimepanda basi moja na kuku.
Labda mama ameongeza purchasing powerwananunua kila chakula njiani hadi kitoto kikanya
Kwani kuna bus gani luxury la kwenda simiyu, mana wasukuma ni karaha kwelikweli, yanaongea kwa nguvu uku yanatafuna maindi ya kuchoma na miwa.[emoji23][emoji23][emoji23] doh mzee hii kali ,sasa uwe unapanda Luxury
luxury zipo sema wewe ndo hujapanda mkuuHakuna luxury buses Tanzania, zipo semi luxury ambazo hupakia idadi ndogo ya abiria kwenye 2 by 2 seats
aah sure mzee kuna route nyingine zimekaa kushoto sana kama hiyo ulosema ,sema mara mojamoja sio mbayaKwani kuna bus gani luxury la kwenda simiyu, mana wasukuma ni karaha kwelikweli, yanaongea kwa nguvu uku yanatafuna maindi ya kuchoma na miwa.