Maana ya Hezbollah ni Chama Cha Mungu. Hivi ni Mungu yupi huyo?

Maana ya Hezbollah ni Chama Cha Mungu. Hivi ni Mungu yupi huyo?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Muda mwingine huwa tukiwa critical na mambo ya hawa jamaa wengine wanadhani ni kwa sababu tuna chuki binafsi ya Dini fulani.

HEZBOLLAH ni KIBOKO YA WACHAWI aliechangamka.

Hawa jamaa ni matapeli tu kama wengine wanaotumia kivuli cha jina la Mungu ku-pursuade watu waungane nao kwa ajili ya ili kuhujumu amani na utulivu wa dunia hii haswa kwa wayahudi, wakristo na waislam wasioendana na itikadi yao.

Ni aibu kuwa muislam alie Tanazania na Mwarabu aliepo popote duniani eti wana ilaumu na kulaani Israel na magharibu kwa ukatili lakini mnasahau kuwa adui wenu wa kwanza ni Iran, Hamas, Hezbollah, Isis, etc

Hakuna cha harakati wala nini, ni ugaidi tu ulio bebishwa kwa watu kwa kivuli cha dini ili wapate wafuasi wengi.

20240928_233141.jpg
 
Muda mwingine huwa tukiwa critical na mambo ya hawa jamaa wengine wanadhani ni kwa sababu tuna chuki binafsi ya Dini fulani.

HEZBOLLAH ni KIBOKO YA WACHAWI aliechangamka.

Hawa jamaa ni matapeli tu kama wengine wanaotumia kivuli cha jina la Mungu ku-pursuade watu waungane nao kwa ajili ya ili kuhujumu amani na utulivu wa dunia hii haswa kwa wayahudi, wakristo na waislam wasioendana na itikadi yao.

Ni aibu kuwa muislam alie Tanazania na Mwarabu aliepo popote duniani eti wana ilaumu na kulaani Israel na magharibu kwa ukatili lakini mnasahau kuwa adui wenu wa kwanza ni Iran, Hamas, Hezbollah, Isis, etc

Hakuna cha harakati wala nini, ni ugaidi tu ulio bebishwa kwa watu kwa kivuli cha dini ili wapate wafuasi wengi.

View attachment 3110793

Israel ni taifa la Mungu.

Mungu yupi huyo?
 
Kufia upumbavu, kufia useng**, kufia matamanio ya mtu binafsi aliewaaminisha nanyi mkamfata kama makondooo.

Enndeleeni kufa, sio kwa sisi wajanja.

Wapi nimeandika lolote lenye kukufikisha kunihukumu Kwa lolote ndugu?

Hata elimu ya viwakilishi nayo hukupata?
 
Wapi nimeandika lolote lenye kukufikisha kunihukumu Kwa lolote ndugu?

Hata elimu ya viwakilishi nayo hukupata?
tatizo lenu wa itikadi hio mmeshakuwa brainwashed, so hautakaa uwelee ndugu
 
Wapi au kipi kinacho kufanya wewe kuona Hilo ni tatizo langu?

Au hata kulikoni wewe kushadadia pilipili usizozila?
Kwanini mnakuwa malaya wa itikadi za watu binfasi makatili?
 
Hua nashangaa sana wakristo kuiombea Israeli ishinde vita huku biblia yao inakataza kuua, inafundisha kujishusha na kusamehe !!


Dini ni biashara!!
 
Back
Top Bottom