Maana ya Hezbollah ni Chama Cha Mungu. Hivi ni Mungu yupi huyo?

Inashangaza sana bro.
Daah Hivi inakuwaje mtu anashika sila eti anamuua mwenzake kisa ameambia na mwengine eti akifanya hivyo ataenda mbiguni na atapewa starehe ya milele, ww nae unaamini.

Ndio maana hata hawa kiboko ya wachw wanaendeleea kula hela za watu kwa sababu mambo ya kufikiria fikirika.
 
Kinachonishangaza bora wangekua wanafuata maandiko..

Mfano huyo mnaebishana nae mbona anaonekana hatumii kauli za Hekima zinayofundishwa kwenye kitabu chake mwenyewe ..

Hao waisraeli wanaopigana na kusemekana ni taifa sijui teule, kwanini wauane na biblia inesema usiue, '"Je, Mungu wao ni kigeugeu?

Bado huku afrika walokole wanafunga na kuombea hiyo vita Israeli ashinde, wakati Mungu wao amezuia vita na kuuana tena kwenye kitabu chao wenyewe, je wamefumba macho?
 
Wakristo mnapenda sana kujiingiza katika vita ya mashariki ya kati laki ukweli ni kwamba hiyo vita haiwahusu hata kidogo
Exactlly, na sababu kuu ni kwamba Mungu wao amekataza kuua/kuuana/vita ...

Kama wanang'ang'ania bhasi wanaenda against na mipango....
 
Hua nashangaa sana wakristo kuiombea Israeli ishinde vita huku biblia yao inakataza kuua, inafundisha kujishusha na kusamehe !!


Dini ni biashara!!
Hivi Magaidi wanapo tuua Wakristo bila sababu huoni kuwa wanania mbaya nasi ?
Au umesahau lile tukio la Garissa Kenya ?
Kuwa A-Shababu waliwatenga Wakristo na Waislamu na wakawapiga risasi Wakristo ?

Munajitoa ufamu sio,
Magaidi wa Kiislamu ni Anti-Christ. Hawana Msamaha kwa Wakristo.
Mnajifanya kuwapenda kinafki Wakristo wakati maandiko yenu yanawafundisha tofauti kabisa na tunawajua.
۞ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَىٰ أَوْلِيَاءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ
[ AL - MAIDA - 51 ]
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
 
H
Haswaaaaa

Wapinga kristo namba moja
 
Mimi huwa nawauliza ni Mungu yupi huyo wanaemtukuza????
 
Mimi huwa nawauliza ni Mungu yupi huyo wanaemtukuza????
Qurani ni Anti-Christ.
Kutwa kucha kazi yake ni kulaani Ukristo na Uyahudi.
وَقَالَتِ الْيَهُودُ عُزَيْرٌ ابْنُ اللَّهِ وَقَالَتِ النَّصَارَى الْمَسِيحُ ابْنُ اللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَاهِهِمْ ۖ يُضَاهِئُونَ قَوْلَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن قَبْلُ ۚ قَاتَلَهُمُ اللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ
[ AT-TAWBA - 30 ]
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!

Fikiria Allah anamwomba Mungu awaangamize Wakristo na Wayahudi kwa sababu za Kitoto kabisa.
Kwani kusema Masihi ni Mwana wa Mungu kuna wadhuru nini Waislamu ?
Qurani ni Nonsense Book.
 
Aiseeee inafikirisha sana
 
Umeongea Short sana na watu watapinga ila Ukweli ndio huo. Wanatumia Dini kutafuta uungwaji mkono. Utashangaa Mkiristo wa Tanzania anaiunga mkono Israel wakati hata Israel haina habari nao. Au Waislam kuunga mkono Hizbollah
 
Aiseeee inafikirisha sana
Wakristo tupo Nyuma ya Waisraeli kwakuwa tunajua fika kama itatokea Waislamu wa Siasa kali wakachukua mamlaka na kusimika utawala wa Kiislamu duniani basi wahanga wakubwa watakuwa Wakristo na Wayahudi.

Kwakuwa Qurani na hadithi za mtume zinawachonganisha sana na kuwagombanisha bila sababu za msingi.
Kitabu kilitakiwa kiwapatanishe na kusisitiza ustawi wa jamii za Imani zote.
We angalia hili fundisho lina faida gani zaidi ya kuhamasisha ugomvi usio na sababu.

Sahih al-Bukhari 2926
Narrated Abu Huraira:
Allah's Messenger (ﷺ) said,
"The Hour will not be established until you fight with the Jews, and the stone behind which a Jew will be hiding will say. "O Muslim! There is a Jew hiding behind me, so kill him."

Ndio maana wenye siasa kali wanaona kupigana na Wayahudi ni Sunna ya Mtume wao.
Watamchokoza Mayahudi kwa jambo lolote ilimradi wapigane naye ili kutii maandiko yao.

Nasema wenye siasa kali
Mujahidina.
 
Huyu alie mtuma Sauli kuua mtoto tena mpaka kondoo nae alikuwa muislamu, ebu acha kutetea kila kitabu kimetoa maelezo ya watu KUUA WENGINE


Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
 
Hua nashangaa sana wakristo kuiombea Israeli ishinde vita huku biblia yao inakataza kuua, inafundisha kujishusha na kusamehe !!


Dini ni biashara!!
We unataka wanyenyekee na kujishusha kisa wazee wa madevu wanawauwa vp dini ya kiislamu inaruhusu kuua ndo maana mkaanzisha makundi ya kigaidi kama alishabab?
 
Umeongea Short sana na watu watapinga ila Ukweli ndio huo. Wanatumia Dini kutafuta uungwaji mkono. Utashangaa Mkiristo wa Tanzania anaiunga mkono Israel wakati hata Israel haina habari nao. Au Waislam kuunga mkono Hizbollah
mimi nafikiri ni kutokuelewa ,habari ikiletwa humu kila mmoja anao uhuru wa kutoa maoni yake, sasa wewe unaesoma hayo maoni unaruhusiwa kuelewa unavyotaka, kama , ukisema na unga mkono Israel sawa na ukisema naunga mkono Hizbollah sawa , kwasababu hayo yatabaki maoni yako pia
 
Ishu ni kuunga mkono kiasi cha kupandikiza chuki
 
We unataka wanyenyekee na kujishusha kisa wazee wa madevu wanawauwa vp dini ya kiislamu inaruhusu kuua ndo maana mkaanzisha makundi ya kigaidi kama alishabab?
wewe unafikiri Waisrael wameanza kuua leo , Biblia imewapa ruhusa waisrael kuua kila kitu hata watoto wadogo na wajawazito, kwahiyo hii ni ideology yao waisrael
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…