Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

KIROHO : Yesu alizaliwa na mwanamke aitwaye MARIA ambaye alikuwa "bikra" na baada ya hapo YOSEFO aliitoa hiyo bikra ya MARIA, kwani huyu Maria na Yosefo walipata madhara?
Sasa hao si Wanandoa Bro?

Madhara ni kwa Mwanaume unayemtoa bikra mtt wa mtu na kuto muoa.
 
Wewe huyo bikra anakutia wazimu sana...Weka namba yake hapa tukuoneshe ambavyo hujawahi kuviwaza. Ni ndani ya week 2 tu utapata majibu.
 
Ooh , upo sahihi kuu sema ulikuwa hujaweka sahihi.
Yani kutoa bikra wanawak tofautinunabeba ma-spirit ya watu , laana na mikosi?
Yes hivyo vyote unavibeba hata kama hujamtoa Bikra , kitengo cha kumuingilia ni tyr ushayabeba.

Ila kwa kitendo cha kutoa Bikra kinaenda Extra mile..

Kila MWANAUME atakayempitia huyo Mwanamke.. Na Ww mtoaji wa Bikra unapata Commission ya DHAMBI ya Uzinzi ya yule mwanamke.. mpk kufa kwake.
 
Pesa bila bikra ni ukatili, uliza wenye pesa wakuambie jinsi mapenzi yanavyowakimbiza
Umemuona Dangote au Mo wanasumbuliwa na mapenzi ukishapata watoto inatosha,kila mwanamke umtakae utampata.Pere alienda kumtembelea Pablo gerezani alimkuta na wanawake wazuri hajawahi kuwaona duniani
 
Yes hivyo vyote unavibeba hata kama hujamtoa Bikra , kitengo cha kumuingilia ni tyr ushayabeba.

Ila kwa kitendo cha kutoa Bikra kinaenda Extra mile..

Kila MWANAUME atakayempitia huyo Mwanamke.. Na Ww mtoaji wa Bikra unapata Commission ya DHAMBI ya Uzinzi ya yule mwanamke.. mpk kufa kwake.
Je kama ukitumia kondom

Coz mm naona ukimt*mba demu na kondom nahisi kama umejit*mba Mwenyewe yani
 
Umemuona Dangote au Mo wanasumbuliwa na mapenzi ukishapata watoto inatosha,kila mwanamke umtakae utampata.Pere alienda kumtembelea Pablo gerezani alimkuta na wanawake wazuri hajawahi kuwaona duniani


Dangote alikuambia hajaoa mwanamke Bikra, au huyo MO?
 
Back
Top Bottom