Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mungu akuongoze Mkuu......Kama kweli una mUngu ndani yako..
Basi usishadadie zambi za Watu wengine...
Kwani HAKUNA anae jua za kwako..

Ni Mungu TU anatustiri..Siku akisema afichue zambi zako hadharani Naamini..unaaibika Sana.
 
Kikao namba 8 mwaka 1978
Ndugu mjumbe nimekupandisha kuwa katibu mkuu, kwani unatekeleza ilani yetu ipasavyo
 
Kooo za hivi zinazooona MABORITI KWENYE MACHO YA WATU...Wao wakijifanya Ni wasafi Sana...SIO HATA ZA KUOLEWA NAZO.
 
Mkuu...laana ya Zinaaa na uchafu mwingine..unaamini inatoka kwa MTU...
Sio Mungu Alie tuumba?

Maana kama Ni zambi ...unawezaje Ukasema Mimi nachagua pakufanyia zambi sehemu nyingine naacha?..Hayo ndo mafundisho yenuWACHAGA?
 
Bikra hata kidini ni sababu kubwa sana.

Hata Mungu anaitambua,, sasa wewe kama huoni ni sababu kuu si utakuwa umechanganyikiwa.
Mungu anatambua bikra ila anatambua kuzini na asie bikra...Hadi utakapo mpata bikra...?.LOOOH salaleee...

Mungu na akukate kilimilimi chako Cha kuongea Mambo uisio yaelewa.

YAAANI wewe unashangilia Uzinifu huki umeoa Tena bikra....YAANI Kumcheat mkeo ni sawa..ilimradi TU huyo unaecheat nae SI bikra[emoji25][emoji25][emoji25]
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]....Ndugu hi NDO IMANI YAKO...

KHAAAAAAAAAAA
 
NAONA MKUU UNATIMIZA MAAMUZI YA KIKAO NAMBA 7 CHA WANAUME KUWA HAKUNA KUOA SINGLE MOTHER😀😀😀
Wanakera sana single mothers.....waliyezaa nao wako bize kupachika mimba wanawake wengine huko mitaani na hawana habari na watoto wao. Mwanamme unaoa single mother na kurithi mtoto wa jambazi unabakia kuchekwa na huyo jamaa jinsi unavyosumbuka kumlea na kumsomesha. Akikuwa na kuwa na maisha mazuri jambazi anaanza kulia mitandaoni kuwa alinyang'anywa mtoto wake na demu wake kitambo pamoja na kuwa na visingizo kibao ili apewe msaada na demu utasikia si ni baba yake jamani wewe ni baba mlezi tu. Kudadadeki sikubali kuwa na mahusiano na demu aliyezalishwa na vibaka kisha mimi nije kulea vibaka watarajiwa waje kunipa presha na haibu mtaani kisa eti ushamba wa uchi tu!
 
Mke wako wewe ndio ulimtoa bikra?
 
Siku izi wajuba wanatoa zote mbili uwezi kuta bikra nyuma au mbele...kutafuta bikra ni saw kusubiri bashite awe mkuu wa mkoa wa dar kwa mala nyingne
 
Kulala tutalala na wanawake mpaka dunia iishe.
Ila hatuwezi toa bikra za watu, tunaharibu vilivyoharibiwa. Lakini hatuoi vilivyoharibiwa

Lakini kamwe hatuwezi kuoa mwanamke asiye na bikra
Niletee huyo mwanamke bikra nakupa ekari zangu 10 za mpunga Kilombero
 
Kwa hiyo familia yenu ina wataalamu wa kupima bikra? manake demu akijipanga nyie ndugu mtabishaje kama anayo au hana?
 
Single Mother ni moja ya takataka kuu zinazoharibu hali ya hewa. Single mother halafu ulishe shahawa za mtu na kusomesha. Nakuunga mkonyoo kwa uimara wako.
Maneno makali sana hayo mkuu. Inamana ikitoka umependana na Single Ma na akikuomba umsitiri utamkatalia? Hata awe mzuri kama Joketi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…