Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
- Thread starter
- #2,501
Mkuu unafanya mzaha na mimi kitu ambacho siyo sahihi!Yaani umekutana na mtoto mkali ile mbaya ukampiga sound na akakubali fresh kisha ukapiga zako safari kadhaa plus mbege kisha ukatinga zako lodge ya maana na ghafla ukakuta mtoto ni bikira!Unataka kunidanganya bila haya ya kwamba utamwambia avae na aondoke zake?!
Mkuu, mimi nina misimamo na miiko, ukishalijua hilo basi.
Waulize wanaonijua humu kwa kukutana na mimi watakueleza,
Najua pisi zipo kali lakini ikishaniambia ni bikra, nakuhakikishia siwezi kuzigonga, zikagongwe huko mimi nikija naharibu kilichoharibiwa