Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
- Thread starter
- #2,481
Mimi juzi nimemtoa bikira mtoto mwenye miaka 18 na nikamwambia kuwa aende zake,sasa nitakujaje kukataa kuoa mke ambae hana bikira?!Huu si utakuwa ni upunguani?
Ninyi ndio mnaharibu watoto wa watu kwa upumbavu wenu na ushenzi wenu.
Alafu wakija kukataliwa kuolewa mnaona waoaji punguani.
Wewe ndio uoe walioharibiwa kwa sababu ulishiriki kuwaharibu, na sio kutupa uchafu wenu kwa wanaume wanaojielewa.
Tunaharibu vilivyoharibiwa
Tunathamini visivyo haribiwa
Tunachafua vilivyochafuliwa
Tunabihifadhi vilivyo safi