huu mfumo uliopo ndio uliokuwapo,kama bikira ingekua na thamani tungekua adapted na huo mfumo wa kutunza bikira ,kizazi baada ya kizazi,kinge emphasize kutunza bikira na bikira zingekuwepo bwelele lol …..
…mahari ni zawadi especially kwa mama kwa kukuletea mke,sio hela ya kununua bikira,omba upate mtu mnayeelewana sio mwenye bikira sababu bikira hai predict future behaviours.....Swaziland wana utamaduni wa kutunza bikira lakini ndio nchi inayoongoza kwa ukimwi,
lastly;una miaka mingapi?ushawahi kuwa na mahusiano?lol