profftobe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 906
- 939
Mtume Muhamad unajua historia yake?
Kwa ufupi ni kuwa Mtume Muhamad (S.A.W) alioa kabla hajapewa utume. Huoni tofauti hapo?
Tafuta Shekhe mzuri akuelezee umuhimu wa bikra kwa mwanamke katika ndoa.
Pia athari karibia zote katika ndoa chanzo chake ni kutokuolewa bikra kama ulikuwa hujui. Huwezi kuelewa kama hauna elimu ya dini.
well said mkuu. Mungu alikuwa na maana yake kubwa kumwekea mtu mke bikra. Mtume kama ilivo kwa baadhi yetu kuoa used women ni dhambi tu tunamkosea Mungu wetu lakini haiwezi hata siku moja kuwa sababu ya kupinga matakwa na/au uhumbaji wa Mungu.