Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hilo litafanyika likitokea kwa sasa siwezi sema nitafanya nini. Mimi Ni Baba, kama nimesimamia kwamba Mke wangu nimuoe akiwa bikra na ikawa. Siwezi shindwa kuwaoza wanangu wakiwa mabikira. Mungu atanisadia coz ninafanya lililo jema

hahaha naona umelikwepa..wewe nawe ni 'baraka' kwa wazazi wako??lol

sasa tuambie kutokana na experience yako,labda tuna ya kujifunza...

Umeshampata bikira unayemtafuta umuoe,lol

Ana miaka mingapi?

usifanye wakaka wa watu humu wakafuata maelezo yako..

wakaendelea kuota kuoa mabikira...

kumbe mtu mwenyewe anaongea mambo ya nadharia tu...
 
hahahaaaaaaaaaaaaaa usinitishe mkuu,atakayenioa ni mtu ambaye tunashibana na kuelewana kwenye mambo mengi..kwa hili lako nimeshangaa hata yeye atashangaa,na wala sio kuwa napinga tu ni kweli nashangaa at this time mtu anaweza kuwa na mawazo kama yako…..sio kosa,lako umelelewa kwenye misingi ya dini iliyopitiliza….again,sikushangai kama kuna wanaoua kwa sababu ya dini...


Mungu akupe upendalo
 
hahaha naona umelikwepa..wewe nawe ni 'baraka' kwa wazazi wako??lol

sasa tuambie kutokana na experience yako,labda tuna ya kujifunza...

Umeshampata bikira unayemtafuta umuoe,lol

Ana miaka mingapi?

usifanye wakaka wa watu humu wakafuata maelezo yako..

wakaendelea kuota kuoa mabikira...

kumbe mtu mwenyewe anaongea mambo ya nadharia tu...


Hili swali nilishalielezea huko nyuma. Mimi nipo na mwanamke niliyetoa bikra mwenyewe. Siwezi kwenda kinyume na kile ninachoamini na kile ambacho Mungu ananitaka nifanye
 
Mkuu
hapa anaongelewa mwanamke maada ni ya bikra.

Aligusia pia kuhusu wanaume kwenye kushiriki katika jambo la wanawake kupoteza bikra, ambapo linawafanya wanaume kuwa na uchaguzi wa ladha maana wanakuwa washaonja ladha mbalimbali.
 
Hili swali nilishalielezea huko nyuma. Mimi nipo na mwanamke niliyetoa bikra mwenyewe. Siwezi kwenda kinyume na kile ninachoamini na kile ambacho Mungu ananitaka nifanye

haya mkuu kama kuna path uliifuata ,sio lazima kila mtu aifuate. Umesema bikra ni baraka, kuna cases ngapi za waliooana mabikira wakawa na mabaraka?

huoni kama hili jambo lingekua na 'mibaraka' na ni zuri kwa jamii..huoni lingekua adapted, wengi wangetunza bikira zao na kupata hio 'mibaraka'

wala usingekua na muda wa ku preach humu...the fact that bikira is irrelevant in this world...kupreach about it ni wastage of time.

Mungu Certainly anataka uwafundishe wanao upendo na kujitunza...ila hii psychologically harming your children kuwakagua hii ni ya kwako na shetani wako..ashindweee lol
 
mkuu kuwakagua watoto?? ndio unaona nasaha?? wewe ukiwa na wanao utwakagua bikra zao???...mbona mnaongea vitu kama vile mnaishi sayari nyingine wakuu?
Usipojaribu huwezi ku-declear kuwa umeshindwa. Tatizo tayari unadhana ya kushindwa nafsini mwako. Na ndiyo maana unaona ugumu.

Hivi unatarajia nani awakague kama siyo wewe? Ubaya wa wakati tulionao watu wanawaogopa watoto wao hata nobe kuwakemea!! JE! Utakuwa na ujasiri wa kumkagua mwanao?

Na kwa hali hii si ajabu kwa mama kupata taarifa ya mwanaye kuwa ameharibiwa kwa kuingiliwa toka kwa majirani kuliko kugundua yeye mwenyewe. POLE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipojaribu huwezi ku-declear kuwa umeshindwa. Tatizo tayari unadhana ya kushindwa nafsini mwako. Na ndiyo maana unaona ugumu. Hivi unatarajia nani awakague kama siyo wewe? Ubaya wa wakati tulionao watu wanawaogopa watoto wao hata nobe kuwakemea!! JE! Utakuwa na ujasiri wa kumkagua mwanao? Na kwa hali hii si ajabu kwa mama kupata taarifa ya mwanaye kuwa ameharibiwa kwa kuingiliwa toka kwa majirani kuliko kugundua yeye mwenyewe. POLE.

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante,kama mama hapa duniani ni kumpa guidance mwanangu juu ya kuishi dunia hii..haya ya kukaguana nawaachia nyie washika dini...nishasema hapo juu watu wanafanya mambo mengi kwa kisingizio cha dini,hivyo siwashangai
 
Wanaume hawana Bikra, ila kuna wanaume wengi wanaingia kwenye ndoa zao wakiwa hawajawahi kufanya tendo la ndoa ukilinganisha na wanawake

Mwifwa una andika kama vile hayo mambo yapo. Simulizi hizi za kale zinanoga kweli kweli. Enhee endelea basi kunipa usahihi wa bikra za nyakati zile [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Mwifwa una andika kama vile hayo mambo yapo. Simulizi hizi za kale zinanoga kweli kweli. Enhee endelea basi kunipa usahihi wa bikra za nyakati zile [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Kwa sasa wanadai Dunia imebadilika.

Watu wanatongozana kwenye simu na kukubaliana kabla hawajaonana, zamani simu hazikuwepo. Utongozaji ulikuwa mgumu sana na wanawake walikuwa wagumu sana huku wakigubikwa na woga wa hali ya juu kuongea na mwanaume.

Ndio maana Bikra zilikuwepo nyingi tu ukilinganisha na sasa.

Wazazi nao hawakuwa nyuma kimalezi, walitimiza majukumu yao kadri walivyoweza.

Kwa sasa hali unaijua mwenyewe, kuanzia malezi ya kidigital, dressing ni hovyo kwa mama na binti yake na hawaoni tatizo.

Kwa sisi ambao damu bado za moto uvumilivu unakuwa mgumu kuona dressing ya binti aliyekamilika kwa matumizi ikionesha shape ya mwili wake, lazima turushe mistari kwa njia yeyote ile hasa kuanzia kwa simu.

Hayo ni baadhi tu, yapo mengi sana.
 
Back
Top Bottom