Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra


Kwa hiyo peter ni mrefu zaidi ya watu wote duniani?

Mke wangu ni mrefu ndio. Mimi nina futi 6.2
 
Rudi tena field, na pitia machapisho ya wataalamu wengine waliofanya kwa Miaka mingi na kwenye jamii nyingi zaidi.

Mimi mwenyewe mtaalamu, sijaanza jana mambo haya, kabla ya kikwete kuingia madarakani nipo field
 
Unanipa madini wewe joka jeusi😁 nakuahid nikioa, kwenye harusi yangu nitakuarika. Nitakuwa jasiri kama wewe na nitayaongea yote yaliyo ya kweli😆😆😆 hakuna bikra hakuna ndoa
JOKA JEUSI my role model 🤝🤝
 
6.5FT TALL!!! [emoji276]

Mwanamke mwenye urefu wa futi 6.5 kwa TZ ni mrefu sana, na ni ajabu sana wala hawezi kuwa kundi la warembo... ila kwenye FANTASY za Joka ni sawa tu!

Tumia akili kwenye utunzi, hapa husimulii wote watoto wenzio.
 
Ulijuaje ni bikra kabla ya kufunga ndoa? Ulimwingilia kabla ya kufunga ndoa? Ndio nini sasa ulifanya!

Kwa karne hii, simshauri yoyote kuoa kabla hajaangalia yaliyomo yamo.

Nilikagua kabla sijaingia ndoani ili kuepusha usumbufu na kumdhalilisha binti wa watu. Maana kama nisingemkuta nayo ndoa ingevunjika usiku wake na ingekuwa ni aibu kubwa kwani hakuna anayeingia katika mkondo wangu akanichezea alafu akabaki safe
 
Unanipa madini wewe joka jeusi😁 nakuahid nikioa, kwenye harusi yangu nitakuarika. Nitakuwa jasiri kama wewe na nitayaongea yote yaliyo ya kweli😆😆😆 hakuna bikra hakuna ndoa
JOKA JEUSI my role model 🤝🤝

Inahitaji moyo Mkuu
 
6.5FT TALL!!! [emoji276]

Mwanamke mwenye urefu wa futi 6.5 kwa TZ ni mrefu sana, na ni ajabu sana wala hawezi kuwa kundi la warembo... ila kwenye FANTASY za Joka ni sawa tu!

Tumia akili kwenye utunzi, hapa husimulii wote watoto wenzio.

Sorry 5.6 not six
 
Hebu piga picha gauni lake la siku ya harusi post hapa nione shela la futi 6.5 linaonekanaje.

Kwa urefu huo naamini hajakodisha gauni lazima atakua nalo hadi leo,

Sorry ni 5.6 fts
 
Pia ana tako la kilo mia (kwa muujibu wa mleta mada mwenyewe). Just imagine, urefu 6.5 ft na tako kilo mia kwenye mwili mmoja!

Kuna watu ni wa kupuuza tu ili maisha yaendelee kwa amani!
 
Pia ana tako la kilo mia (kwa muujibu wa mleta mada mwenyewe). Just imagine, urefu 6.5 ft na tako kilo mia kwenye mwili mmoja!

Kuna watu ni wa kupuuza tu ili maisha yaendelee kwa amani!

Kama ndio unajua leo kuna watu wa kupuuzwa kwa nini wewe mwenyewe usipuuzwe?
Maana akili yako ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…