Kweli hili nalo ni muhimu sana kujua
Swali zuri
Safi Sana hili darasa
Ile bikra Mungu aliiweka makusudi alijua wanaume wana maumbile tofaut sasa ww umeenda na mwenye kenta, mara basi mara katapira, sasa ukiikuta haisi c utaona haina mzuka???? Mnaenda mbali zaid had mnatumia tango?? Jiulize kipind unayo hiyo bikra kidole chako kilikuwa na uwezo wa kuingia hapo? Kama no jiulize kuna mwanaume ambaye ana hati miliki mfano wa kidole? Hapo ndipo kosa lilipo.
Haya madhara. Ni nani muolewaji? Anayeolewa ndiye mwenye kuathirika negatively, koz muoaji akisema kama huna bikra sikuoi, je utajioa????. Pili umewahi kusikia mwanamume analalamika et mke wake hamfikishi kilimanjaro???? Mkuu waelimisheni tu wadg zenu au watot wenu watunze hizo tunu, na kama muda wa kuzitoa umefika bc wazitoe mahali salama.
2be renewed 🤐
Huu uzi wanawake hawatachangia kabisa , udaktari wa falsa ya jamii lazima apewe mwamba bila kupigwa.Chukua Popcorn kabisa
Mkuu
Gender yangu ni ME....sasa unaongelea mimi kua na bikra,inaonesha hata hujui unachoandika
Ushachanganyikiwa tayari,usha lose track ya watu unao chat nao
Maajabu haya
Wanaume hawalalamiki kuwa hawafikishwi lakini mnalalamika kuwa mmeichoka papuchi si ndio? na kwamba hamuwezi kuridhika na mwanamke mmoja , na tuwazoee sababu mtachepuka tu, si ndio? Sasa kama mwanamke nijitunze kwa ajili yako ili iweje ?
Mnapenda sifa za kuwa wa kwanza kuzibua mwanamke lakini hamumpi huyo mwanamke heshima yake, hamjitunzi, so kwanini tuendelee kuwapa heshima msizostahili?
Mambo ya ubikra ni nyie wanaume mnaopush kila siku lakini sisikii wanawake wakipush sana sababu it's not worth it.
Ni wanaume wachache wanaweza kuwa na tabia ya et kuchoka papuch!!!! Nooo ka ndo hivo bc wanaume wote wangekuwa malaya, mwanaume aliyemkuta mke wake ana tunu yake na heshima yake, kamwe hawez kucheat mana nafs itakuwa inamsuta. Labda ukute huyo mwanaume hiyo ndo tabia yake, hapo huwez kupangua kamwee lbd uloge
katika maisha unatakiwa kujifunza kushukuru kile ulichopata, lkn kamwe usidhiaki kile alichopata au kukosa mwingine maana wote hatujui siku wala saa. Upendo kwenu wanawake na mabinti wote mnaojieshimu na wenye utii, haijalishi 'mliteleza' au 'hamkuteleza' katika maisha yenu.
Bikra inafaida gani sanasana mapenzi hajui
wagalilaya mpo? mnakubaliana na jamaa kumvua binti nguo kabla ya ndoa takatifu na kuidhalilisha familia? Tupia basi ka audio ulivyokuwa unaongea, tuone kama umefika top levo yetu wale tulio zitindua baada ya sacrament.
Vipi na ww ni bikira?Kumekuchaaa [emoji16]
Hebu tuachane na mkeo ....jisifie na Wewe jinsi ulivyo mume Bora kwa huyo mkeo..
Maadamu unajifu tiririka..sasa