Kwa hizi picha nimeamini kweli Bikra kumbe bado zipo, jamii husika inanafasi ya kutunza maadili ya vizazi vyake.Unataka kusema ningetoa somo hili kwa njia ya picha ndio ingeeleweka vizuri?
Rejea mada zangu za nyuma.Unataka kusema Hadi dada zako ,mashangazi zako na ndugu zako wengine wote waliopewa na bikra?
ASANTE KAMA OMBI LANGU UTALICHUKUWAHizi mada zinagusa mpaka waheshimiwa mkuu,
Huu ni mwanzo tuu, lazima nifanye msemavyo
Ndo ujue kuwa huyu mleta mada ana matatizo ya akili.
Kuringia bikra ya mkeo NI KUJIDHARIRISHA NA KUMDHARIRISHA HUYO MWANAMKE.
Pia anamdharirisha mama YAKE mzazi na ndugu zake wa kike.
Unadhani mleta mada yeye ndo wa kwanza kuoa bikra? Au yeye ndo wa kwanza kumvunja mwanamke bikra?.
Hata Mimi nikishawahi kumbikri mwanamke lakini siwezi kuja kujisifu humu
MANENO KUNTU HAYA KABISAWawatiishe wake zao, wasikubali kupewa maneno ya kimalaya na wake zao, mwanamke akikataa kukusikiliza piga chini, na uhakika ni kuwa kama mwanamke hakumsikiliza mzazi wake na Mungu mpaka akaitolewa bikra na kumpa mumeo kitu used ni wazi hatakusikiliza hata wewe.
Kama alivyokuwa akijificha wazazi wake wasijue ameanza tabia mbaya ndivyo atakavyojificha ukimuoa ili usijuea anatoka na mwanaume mwingine.
Mkuu
Nimeshakuambia mimi ni mwanaume
Wewe kuanza kunipangia jinsia sijui nje sijui ndani,sijui blah blah ni ukichaa
Huwezi kaa unatumia ubongo wako binafsi ku-assign gender to people you even dont know...
Ni kazi ya kipumbavu
Huna maana...jike labda ni wewe unaekaa humu kusifia bikira ya mwanamke eti ndio certificate ya yeye kua na tabia nzuri wakati wanawake wote duniani walishawahi kua na bikira na wakatolewa bikira na wanaume kama wewe,and still wana tabia mbovu
Hoja yako tayari ni dead on the arrival
.......ngoja tuon😂😂Hahaha!
Jamhuri ya Fisi niliipiga tangu siku ya kwanza, haijawahi kushinda.
Fisi hajawahi kumshinda simba