Huwezi muita Mama yako mAlaya Kama unaamini MunguUshetwani mbaya sana, so mama yako akifanya umalaya yeye haitwi malaya kisa mama yako?
Embuoneni hili chizi
Uovu hauna cha Mama wala Baba, Ukifanya unapata jina jipya. Baba yangu akiiba, yeye ni mwizi kama wezi wengine.
So Ulitaka wengine waitwe kwa jina baya kisa sio mama zako?
Hili chizi kweli
Ili ujue wewe maharagwe ya mbeya na usiye na msimamo, umesema ile ilikuwa Your last post to my post, kinachokufanya uendelee tunakijua ni kuwa kahaba hanaga msimamo hata kwenye mambo madogo
wewe kweli chizi,si ulisema huniwekei bundle??, unachoona cha ajabu ni kipi mimi kurudia haya mashudu yako????
Wewe endelea kuzuga hapo,ila huwezi kumuita mtu aliyekubeba miezi tisa ma*laya...hapo ndipo unapoonyesha wewe hauna moral authority ya kutuambia sisi lolote,... you are stupid,kutaka kuendelea kumaintain status ya upuuzi wako humu unaona uende extra lengths kiasi cha kumtukana your own mum........
utaniita mzoga,maharagwe ya mbea and whatever....ila kukuambia unaishi ulimwengu wa kufikirika sitaacha,na ukweli unaujua kwamba topics zako ni za ulimwengu wa kufikirika, ni sawa na wale watoto wadogo wanavyoamini ulimwengu wa fairy tales....pole we!
You are very right.Nikweli....KUSIMAMIA WHAT is right ni Jambo Jema kabisa...
Hata Mimi siwezi mshauri mtu AZINI...
Lakini huku kuwaita wengine Takataka ..mizoga...makahaba...nk...Ni Sawa..
Kama KUSIMAMIA what is RIGHT...HII right ni bikra ya mwanamke TU...
RIGHT NI KUKATAZA UZINIFU.....SIO KUEGEMEA KWENYE UZINIFU WA MWANAMKE..
Huyu mwanamke hajizini mwenyewe
Kama WANAUME watakimbilia Zinaaa...hawatajizuia watawabaka hata hao WANAWAKE.
Huwezi muita Mama yako mAlaya Kama unaamini Mungu
Ushetwani mbaya sana, so mama yako akifanya umalaya yeye haitwi malaya kisa mama yako?
Wewe endelea kuzuga hapo,ila huwezi kumuita mtu aliyekubeba miezi tisa ma*laya...hapo ndipo unapoonyesha wewe hauna moral authority ya kutuambia sisi lolote,... you are stupid,kutaka kuendelea kumaintain status ya upuuzi wako humu unaona uende extra lengths kiasi cha kumtukana your own mum........
Mwanamke mchafu Ni kwa mwanaume mchafu....au kwa mwanaume asieamini
Mzinifu achapwe bakora 80 na Kama ameoa apigwe mawe Hadi kufa.
HAKUNA sehemu Mungu kasema mwanamke mzinifu hafai kuolewa na atengwe ..alafu Huyu Mungu Tena aseme yeye Ni msamehevu anasamehe kila dhambi hata Shirki..
Uchafu wa Mama au baba hauendi kwa mtoto...
No bearer of burdens will carry the burdens of another..
Sikumbuki TU ni Quran ngapi...mstari was ngapi....
Labda kama umaana wa Kiswahili umebadilishwa ila mbona hiyo line hapo juu inaeleweka vizuri?hajatamka mtu hapo kwamba “mama yangu ni malaya” kama ni hivi ndo tungesema amekengeuka ila amekazia tu na kwanini mkiwa kwenye battle mnapenda sana kulazimisha uwingi ambao haupo?
Mf;wewe hapa umebeba bendera kuwakilisha wenzako ila unalazimisha uwepo wao (kama hapa unang'ang'ania amemuita mama yake malaya kana kwamba mama yake atasoma hapa ili amkanye mwanae)
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kama umaana wa Kiswahili umebadilishwa ila mbona hiyo line hapo juu inaeleweka vizuri?hajatamka mtu hapo kwamba “mama yangu ni malaya” kama ni hivi ndo tungesema amekengeuka ila amekazia tu na kwanini mkiwa kwenye battle mnapenda sana kulazimisha uwingi ambao haupo?
Mf;wewe hapa umebeba bendera kuwakilisha wenzako ila unalazimisha uwepo wao (kama hapa unang'ang'ania amemuita mama yake malaya kana kwamba mama yake atasoma hapa ili amkanye mwanae)
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh....yaaani Mama yako ufungue mdomo umuite Malaya...au unasema TU jamii forum..Malaya ni malaya hata angekuwa ni mungu mwenyewe.
Dhambi haina excuse.
Ninyi ndio mnashindwa kuwa majaji wa kutoa haki pale ndugu zenu au watu wakaribu wanapokosea.
Kama ni mama anafanya uzinzi yeye ni malaya kama walivyo malaya wengine. Kama kaibi ni mwzi kama walivyo wengine. Huo ndio ukweli. Huko ushetanini ndio hamuwezi kukemeana kisa mnaukaribu na waovu
[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kingereza chako kinachekeshaga sana Mkuu.
Haahaaa
Duuh....yaaani Mama yako ufungue mdomo umuite Malaya...au unasema TU jamii forum..
Ndo Maana nakwambia maandiko ya Mungu huyajui..ulichokion kwenye bible Ni kutoaa Asie bikra tu
WEEE tumia another tactic...hii haifanyi kazi, Kuna wazungu wamezaliwa nchi wanaojiita ENGLISH people and yet akiandika mahali unaona clearly hajui kingereza, halafu mbantu mjinga mmoja ndio anakuja kunipigia kelele kuhusu kingereza..... I TAKE NO NOTICE..... IDIOT
sema SUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU tuweke POLL!!!!???? tukunyamazishe for good! LOL!! huyu uliyemquote clearly ajajua tulianzia wapi.....eti umpige mtu risasi..una huo ubavu basi???!!!!
Aiseee.. Uzi umekua wamoto,
Nilichogundua fasta ni kwamba wanawake wanaowaka kwa hasira humu hawana bikra au waliolewa bila bikra.