[emoji16][emoji16]usitufokee bhn watu na miaka yetu 20+ na tumekua kiakili wewe endelea kukariri maisha mkuu hata ivyo dunia inakwenda Kasi Sana pengine unaweza kuwa sahihi mm sijuiMtaani as in tayari kashaanza kutana na changamoto za maisha na ameanza kupevuka kiakili....watoto wenyewe wa chuo siku hizi 23 tuu tayari ana degree but dont mean she is mature.
Wacha atongozwe na bosi mara sijui ameenda function flani amekutana na handsome boy basi ndio hapo utajua huyu kakomaa. Na pia unajua interests na mitazamo ya mambo ubadilika sana. Wee jifikirie mawazo yako wakati upo chuo and lets say ulipofikia miaka 27 au 28
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]