Cha kwanza, Kwanini unaona umesema ukweli? Unajua maana ya ukweli? Kwanini unadhani ukweli kwako John utakuwa ni ukweli kwa Hamisi? Nihakikishie pasina shaka kuwa huu ni ukweli ili nami nianze kuwahubiria wadogo zetu ukweli huo kurescue vizazi vijavyo wasipoteze bikra zao.
Pili, Huyo mwanamke ambae unataka akutunzie bikra yake hadi hapo mtakapokutana unafahamu kuwa na yeye ana mihemko, matamanio na hisia zake, naye hutamani kufanya mapenzi, iweje ukandamize haki yake ya kimsingi yakuenjoy maisha only to satisfy your ego?