Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Kwahiyo wakulipa mahali ni wale wabikiri wa dada zetu Mana ndio wame zao halali.
 
Hapa naona umetanguliza mkokoteni uvute ng'ombe. Kwa nini? Hata kwenye jamii zinazofuatilia issue ya ubikra kabla ya ndoa, mahari huanza kutolewa, kisha siku ya kugegeda ndo hiyo bikra hupimwa kwa maharusi kutandikiwa shuka. Sasa wewe utagomaje kulipa mahari wakati kimantiki hujui kama Binti ni bikra au la? Wakikuuliza umejuaje kama Binti yao sio bikra utawajibu vipi? Na wewe mpaka ukajua Binti sio bikra, ulikuwa unafanya nae Nini? Na baada ya kugundua sio bikra bado ukaenda kwao kuprocess ndoa, kwa lipi? Anyway, kabila letu halina hizo vitu, na mahari ni LAZIMA. Japo nilibahatika pia kuzindua seal mwenyewe siku ya ndoa, japo pia isingenishughulisha sana kama nisingeikuta.
 
je wewe umeo? kama ndio mahali uliyoambiwa ww uli bargain kwasababu kama hiyo ya mwanamke kuto kuwa bakra au ulipata bakra.
 
Moderators tunaomba mada za huyu shoga mleta mada mpigeni ban

Ana gender violence hasa kwa wanawake

Dume zima hili shoga kutwa kuwakomalia wanawake

Hivi hamna ndugu au wazazi wa kulirekebisha au kulionya hili shoga leta mada?
kwanini unamjibu kwa hasira? kwanini unamtolea maneno makali kiasi hiki.
Huzioni changamoto katka sekta ya ndoa siku hizi, watu kama mtoa mada wanajaribu sana kuweka mazingira mazuri kwa kizazi kijacho kwasababu hiki kimeharika sana.ONYESHA HESHIMA KWAKE
 
Moderators tunaomba mada za huyu shoga mleta mada mpigeni ban

Ana gender violence hasa kwa wanawake

Dume zima hili shoga kutwa kuwakomalia wanawake

Hivi hamna ndugu au wazazi wa kulirekebisha au kulionya hili shoga leta mada?
Unateseka ukiwa wapi ewe Mwanamke?

Una uhakika Mshkaji ni shoga?
 
MWANAMKE ASIYEKUWA NA BIKRA HAFAI KUOLEWA KWA MAHARI,INAPASWA ATOLEWE BURE!.
Wajane na walioachika lakini walikuwa watu wema tunawaweka wapi acha mbali waliibakwa .

Japo kuoa bikra ni vizuri lakini tabia(dini) ni muhimu sana bila kuwa sawasawa hapo maana ndoa nzima inakua ya hovyo..


#AkiliMtuWangu.
 
Wewe kama mkristo kweli unafahamu kwamba utaratibu wa mahari unatangulia, ndoa inafuatia ndipo tendo. Sasa utataka urudishiwe baada ya ndoa?
 
Huyo Dada wa watu ameumia sana maskini mpaka ametoa matusi makubwa sijui kwanini
 
Moderators tunaomba mada za huyu shoga mleta mada mpigeni ban

Ana gender violence hasa kwa wanawake

Dume zima hili shoga kutwa kuwakomalia wanawake

Hivi hamna ndugu au wazazi wa kulirekebisha au kulionya hili shoga leta mada?

Hasira ZAKO hazitakusaidia Hapa.
Anzisha Mtandao wako ili uwe na sheria zako.

Mada zenu za mashoga huzipingi Ila ukiona mada za wanaume unaleta mihemko yako ya kipuuz
 

Mbona Wazazi wanajua kabisa binti akiwa kaharibiwa au hajaharibiwa.
Yaani mzazi makini sio mpaka mahari itolewe ndio Ajue binti yake ameharibiwa au Lash!
Wazazi binti akishaanza hiyo michezo wanajua mapema Kabisa.
Na mtoto akiwa Bikra wanajua
 

Achana naye huyo, kaolewa mke Wapili ananileta hasira zake huku
 
We mr taikon vipi kuhusu barua ya posa tutoe mwisho shingapi?
Maana kuna mwanamke ananikomalia utafikiri yeye ndio mama mkwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…