rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Na habari ni kwamba hakuna mwanamke asiyependa kuolewaNi nani hata amekwambia kwamba hao Wanawake uliowataja wanapenda au lengo lao maishani mwao ni kuolewa? Kuna watu wameridhika na maisha yao jinsi yalivyo kama wewe labda ulivyoridhika na yako, waache watu wawe jinsi wanavyotaka kuwa, wewe weka hiyo bikira na subiri Mwanamke/Mwanaume ambaye mtafanana yaani wote bikra muoane muwe na furaha kama wengine walivyo na furaha kuishi bila bikira na siyo ishu kwao!
Hahhahhaaa!! Endelea kujipa Moyo. Lakini ukweli upo moyoni. Ku-type hakutaathiri ukweli wowote uliomo moyoni mwako
Tatizo ni kwamba unataka watu waamini kile unachoamini ww hiv unajua kuna watu hata awe na heka kujaza dunia nzima ila bila kuwa na phd anaona hajafanya kitu ila kuna mtu hata akiwa na darasa la 3 tu lakin kwake hela ndo kila kitu na mwingine yupo radhi alale njaa ili awe na nguo nzuri lakin kuna mwingine yeye akijisitiri na ni safi kwake powa na sio kwamba hana uwezo wakununua nguo nzuri na ya gharama kubwa ila haoni umuhimu wake sasa ndo kama hapo yaani we unathamini sana hicho ila mwenzio anaona jambo la kawaida sana yaaniHahhahhaaa!! Endelea kujipa Moyo. Lakini ukweli upo moyoni. Ku-type hakutaathiri ukweli wowote uliomo moyoni mwako
Na habari ni kwamba hakuna mwanamke asiyependa kuolewa
Kusema ukweli ni kukashifu. Ifike mahala watu wakubali ukweli hata kama unawagusa moja kwa moja. Gentlemen hamung'unyi maneno kama demu huongea vitu wazi wazi bila kuficha.
Kweli wanawake hasa wazuri wanapitia kwenye mitego mingi lakini hiyo ndio humfanya mwanamke kuwa wife material akiishinda. Tofauti na hapo mada haibadiliki
Sio werevu ila wenye bahati yakuitwa werevu,binafsi bado sijaoa na sijui ni mtu wa namna gani ntaoa ila bikira haiwi sababu yakumuoa bali ni sifa moja wapo tu na zingine mia zitafuata lakin kwa sababu najua sisi binadamu hatujakamilika ndo maana kuna mbaya sana,wastani,vizuri na vizuri sana,anaweza akakosa bikira afu akawa na zingine tisini na tisa afu et nimuache si ujinga huoNinayetarajia kumuoa sio bikira, namimi sio mjinga (naamini nawezakua mwerevu kukuzidi, who knows) na wala sijidharau.
Kama kuoa bikira ndio kipimo cha ujinga basi dunia inawanaume werevu wachache saanaa..(kuanzia zama hizi mpaka zijazo). Kibaya zaidi matoto wako (wakike kwa wakiume) watakua WAJINGA WAKUPINDUKIA
Cha kwanza, Kwanini unaona umesema ukweli? Unajua maana ya ukweli? Kwanini unadhani ukweli kwako John utakuwa ni ukweli kwa Hamisi? Nihakikishie pasina shaka kuwa huu ni ukweli ili nami nianze kuwahubiria wadogo zetu ukweli huo kurescue vizazi vijavyo wasipoteze bikra zao.
Pili, Huyo mwanamke ambae unataka akutunzie bikra yake hadi hapo mtakapokutana unafahamu kuwa na yeye ana mihemko, matamanio na hisia zake, naye hutamani kufanya mapenzi, iweje ukandamize haki yake ya kimsingi yakuenjoy maisha only to satisfy your ego?
Siyo kweli, wapo Wanaume/Wanawake ambao hawapendi kuoa/lewa, labda haujawahi tu kukutana nao, lkn wapo!
Hata kichaa huona walio wazima nao ni vichaa so kila mtu acheki kwa upande wake na akae kivyake,6 inaweza kuwa9 kulingana na ulipoWerevu siku zote huwa wachache sana kumbe ulikuwa hulijui hili. Huyo mwanamke anabahati/neema kama hana bikra. Pambana na hali yako Mkuu.
Tochi ni muhimu lakin ukianza kutembea mchana umewasha tochi unamulika lazima tutakuwa na wasiwasi na akili yako otherwise unafanya komediNjoo Sinza, then hutoandika upuuzi wako hapo. Ukweli lazima uzungumzwe. Hata kama umekosea haimaanishi ukweli huo usisemwe
Itakuwa punda kuzaa mbwaMimi hali yangu sina shaka nayo (nadhani pia sio jukumu lako kunikumbusha kuhusu hiyo).
Ninachokiona hapa ni nguvu yakuukumbatia ujinga na kuufanya sehemu ya maisha.
Nikweli kuwa heshima na thamani ya mwanamke(kwenye ndoa) inakua juu pale anapoutunza usichana wake mpaka ndoa.
Ninachokiona kua ujinga hapo ni kudhani kwamba ni wanaume WAJINGA tuu na WANAOJIDHARAU ndo huoa wasio na bikira.
Hivi ni kweli thamani yote ya mwanamke imeshia kwenye bikira tuu?
Hivi ni kweli werevu na kujithamini kwa mwanaume kipimo chake ni kuoa bikira tuu?
Kama baba yako sio 80+, ipo possibility yakwamba alioa asiye bikira. Mfikirie umuhusishe na huu uliouita ujinga, halafu fikiria uzao wa mjinga utakuaje (mind u, ujinga ni generational)
kuna sababu kama vile ulisishaji unaweza mfanya mtu awe mkimya au muongeaji na pia mwingine unakuta anapenda zaidi kusikiliza kuliko kuongea na mwingine hupenda zaidi kuonge kuliko kusikiliza na pia kuna mwingine huwa mkimya au muongeaji ni kwa sababu ya uamuzi wake tu.Ndo maana nimesema unarahisisha mambo, siyo kwamba wanaamua ni kwamba wako wired hivyo kwenye ubongo wao, labda nikuulize kwa nini kuna watu hawawezi kuongea kabisa ni wakimya na wengine wanaongea sana? Unaweza kuniambia ni kwa nini?
Ukiona hivyo ujue walishaingia na kutoka au vyovyote vle....lakin kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke.
Hata kichaa huona walio wazima nao ni vichaa so kila mtu acheki kwa upande wake na akae kivyake,6 inaweza kuwa9 kulingana na ulipo
Tatizo lako ni moja nikuona bikira ni pointi pekee yakuwa wife materials kitu ambacho sio kweli kabisa yaani ni moja ya point tu lakin kuna zingine nyingi na unataka wengine tuelewe hivyo na kashangaa zaidi kufika hatua yakutukana wenye mawazo tofauti yakonaweza sema hakuna mwanamke asiyehitaji mume sema wengi huridhika kuishi kama walivyo kwa sababu fulani may be hawezi pata mtoto,ametumika sana inafika hatua anajishusha thamani mwenyewe anasema bora iende,hatongozwi,ampendae ampendi nk....ila nakazia bikira anaviwango vya tbs na wanaume wengi ni ndoto zao kuoa bikira na huwa wanaeshimika sana na wanaume
Tatizo lako ni moja nikuona bikira ni pointi pekee yakuwa wife materials kitu ambacho sio kweli kabisa yaani ni moja ya point tu lakin kuna zingine nyingi na unataka wengine tuelewe hivyo na kashangaa zaidi kufika hatua yakutukana wenye mawazo tofauti yako
kuna sababu kama vile ulisishaji unaweza mfanya mtu awe mkimya au muongeaji na pia mwingine unakuta anapenda zaidi kusikiliza kuliko kuongea na mwingine hupenda zaidi kuonge kuliko kusikiliza na pia kuna mwingine huwa mkimya au muongeaji ni kwa sababu ya uamuzi wake tu........nikirudi kwenye mada naona kabisa umekubali kuwa mtu kuwa na mahusiano si uamuzi wake bali kuna sababu humfanya kuwa hivo....thanks it is over