Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
MI bado sijaharibika, kitu sealedBasi twezetu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MI bado sijaharibika, kitu sealedBasi twezetu😂
SDA Natural born 😀😀😀Huyu mpenzi niliyenae ni wa 561 lakini sijawahi kukutana na bikra,nyie mnawatoa wp mkuu?
Labda seal ya uani, faller wewe😂MI bado sijaharibika, kitu sealed
aisee we mzee,seal ya uani
Wakubwa wakiongea jifanye hujasikiaaisee we mzee,
hatakama maudhui yanakera?😂Wakubwa wakiongea jifanye hujasikia
Kalaga bank🤣🤣🤣🤣🪑Mughonile.
Niliapa sitaharibu ambacho hakijaharibika au kuharibiwa. Sitaondoa Bikra kama sitamuoa huyo Mwanamke. Kama una bikra basi nisingekuchezea lakini kama umejiharibu au kuharibiwa nilijipa uhalali wa kuendelea kufanya uharibifu.
Niliapa sitokuja kuoa Mwanamke asiye na Bikra hata nichomwe moto. Hata angesema nani. Labda ulikuwa ni utoto. Lakini kwa sasa nimekua na nipo ndoani kwa miaka kumi sasa tangu nilipooa 2013. Miaka kumi ya ndoa imekuwa ya furaha kwangu. Ndoa ya Mwanamke wa ndoto yangu, Bikra safi.
Najivunia kuwa miongoni mwao wanaume bora wenye bahati kwa kuoa na kuanzisha familia Safi. Najivunia watoto wangu kuwa na mama ambaye ni msafi ambaye usafi wake niliuthibitisha mimi mwenyewe siku nilipokata utepe.
Msimamo wangu wa kizamani unaninufaisha, umeniletea familia yenye furaha yenye uaminifu. Mama mwaminifu, msafi, mama mzuri, Watoto waliotoka katika mama mwenye kujitunza na kujizuia.
Kama hujaoa na unataka familia yenye furaha. Basi OA Mwanamke mwenye Bikra. Usiharibu ambavyo havijaharibika wala kuharibiwa. Utaishi maisha matamu Sana.
Bikra Matters
Usioe asiye na Bikra
Kalaghabaho
Acha ujinga hajalalamika alaahatakama maudhui yanakera?😂
si unajua wazee wa siku hizi wahuni mafirauni
Saa zote zipo sealed, njoo ujionee mwenyeweLabda seal ya uani, faller wewe😂
Hongera lakini, kumbuka unaweza kuwa makini barabarani ajali ikaletwa na dereva mwingine mzembeKamwe sitaharibu ambacho hakijaharibika au kuharibiwa.
Niliapa sitokuja kuoa Mwanamke asiye na Bikra hata nichomwe moto. Hata angesema nani. Labda ulikuwa ni utoto.
Ahsante sana kakaKaka mkubwa hii umeongea ni Point kabisa, na kuna vitu vingine pia nimejifunza kupitia hii Comment. Kwa upande wangu nilikua naamini kitu hiki hiki na hapa umeniongezea CONFIDENCE ×100. Katika principle za ndoa mwanaume anatakiwa apate mwanamke ambaye ni Bikra hii ikimaanisha kwamba yani kama bidhaa mpya anaitoa kwenye kasha mwenyewe. Na mimi kwa upande wangu siwezi anzisha mahusiano ya uchumba na dem asiye na hicho kigezo, maana inaonesha hakuna uaminifu wala usafi kwake.
Alafu pia na hii nadharia ya kusema mabikra Tanzania hawapo ni uongo, mabikra wapo wengi tu.
Wapo wengi mnooooo, kaka wapo na tuweke msimamo humo hasa sisi mabachelor.Kaka mkubwa hii umeongea ni Point kabisa, na kuna vitu vingine pia nimejifunza kupitia hii Comment. Kwa upande wangu nilikua naamini kitu hiki hiki na hapa umeniongezea CONFIDENCE ×100. Katika principle za ndoa mwanaume anatakiwa apate mwanamke ambaye ni Bikra hii ikimaanisha kwamba yani kama bidhaa mpya anaitoa kwenye kasha mwenyewe. Na mimi kwa upande wangu siwezi anzisha mahusiano ya uchumba na dem asiye na hicho kigezo, maana inaonesha hakuna uaminifu wala usafi kwake.
Alafu pia na hii nadharia ya kusema mabikra Tanzania hawapo ni uongo, mabikra wapo wengi tu.
[emoji28][emoji28][emoji28]Doh nimecheka mpaka nimeona nishee
Haya Mchungaji hapa ametupa kabisa maana ya mwanamke bikra na akiolewa akikutana na mwanaume anavyokuwa
Eti analia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akiona msitu kifuani, analia[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2801293