Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Tabata Kwa majambazi na wahuni??Bikra nyingi zipo tabata
Mchungaji nimempenda[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwahiyo Mama yake na Yesu alikuwa NI laana??BIKRA NI LAANA.
Heeeπ³π³BIKRA NI LAANA.
Kabisa.....Heeeπ³π³
Bora ulivyofunguka na mimi sikukimbilia kukujibu kwa kutegemea utafungukaKabisa.....
Wanawake wanaojitahidi kutunza bikra hawana furaha labda wale washika dini sana
Maisha mafupi, kula bata
OukayKabisa.....
Wanawake wanaojitahidi kutunza bikra hawana furaha labda wale washika dini sana
Maisha mafupi, kula bata
Huyo ana mapepoHeeeπ³π³
Wewe bikra unayo??Kabisa.....
Wanawake wanaojitahidi kutunza bikra hawana furaha labda wale washika dini sana
Maisha mafupi, kula bata
SinaWewe bikra unayo??
Stori za vijiweni bwanaBora ulivyofunguka na mimi sikukimbilia kukujibu kwa kutegemea utafunguka
Mke wangu nimemkuta Bikra ila kwao wote ni wale swala tano
Na alikuwa anafuraha shida inakuja kwa hawa wanaotunza Bikra bila kumtanguliza Mungu hawa wengi wao hawana furaha
Huyu mimi nilimuuliza kwa nini umekuwa Bikra na umri huo, akanijibu
, "sijawahi kutamani kufanya mapenzi na wala sikutaka kujua raha aipatayo mtu anapofanya mapenzi pia niliambiwa ukitolewa Bikra inauma hivyo nikawa naogopa nasubiri kutolewa na mume wangu atakayenioa"
Pia akaniambia, "unajua kitu kama hukijui radha yake pia ukiwa hutaki kukijua ni ngumu kushawishika"
Sawa we pita uendeSiipendi bikra.
Sasa unakujaje mabikra hawana Raha?!Sina
Wapo wengi tu, sababu kuu ni kusemwa vibaya na wanaume wanaowatolea njeStori za vijiweni bwana
Nani anawadanganya mabikra wasioshika dini hawana Rahaπππ
We una matatizoBIKRA NI LAANA.
Mimi nazipenda sana tena uzuri sijawahi kusumbuliwa kwa hawa wawili niliowatoa japo huwa wanalia lakini huwa wananipenda sana sababu huwa situmii nguvu huwa naenda nao taratibu mpaka nafanikisha lengo languSiipendi bikra.
Huenda pastor wa mchongo mbona clip imekatwa juuDoh nimecheka mpaka nimeona nishee
Haya Mchungaji hapa ametupa kabisa maana ya mwanamke bikra na akiolewa akikutana na mwanaume anavyokuwa
Eti analia ππππ
Akiona msitu kifuani, analiaπππ
View attachment 2801293