Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,023
Hahahahaahahahahhaah mwache aendelee kusibiri bikraYaan nimecheka adi kujikojolea jaman khaa nimemtafakari mtoa mada ana fikra za kizamani afu ata ukute mama ake mwenyewe aliolewa akiwa na mtoto wa nje ambaye ndo mtoa mada
Kama unakwenda huko hata ni complicated zaidi, kwani Yesu hakuoa wala kuzaa na alikuwa mwana wa Mungu na Mungu alimtuma kwa wa mfano wa kibinadamu ili tumuamini, sasa kwa nini hakuoa wala kuzaa?
Bado ni mzinzi so kupata bikira pia ni neema tu mkuu ila kwako ww utaweza maana we sifa pekee ya kuwa mke mwema ni moja tu ila tunaohitaji sifa zingine ni taabu kupata hiyo bikira maani anaweza kuwa nayo afu zingine hana bd kwangu hana nafasi
Pole sana... Siku zote Mungu hukupa kile unachostahili..kama ww unarukaruka usitegrmee atakuletea mtu aliyetulia...kwa hiyo kama we hapo ulipo ulishatembea na wanawake ambao hawana idadi na bado hujawaoa wengine umewatoa bikra na haujawaoa..jiulize wataolewa na nan?maana nimeona umewaita wanaooa wanawake ambao sio bikra wajinga...na ww utaoa asiye bikra na utaungana na wajinga wenzako kama ulivowaita
Nataka nikwambie kitu kimoja tu kama hujawahi lala na mwanamke bas Mungu atakupa mke bikra ila kama umezoea kulala na Wanawake wengi God will give you what you deserve. Uwaachie wenzako waliotulia wawapate hao mabikra
Na unavoishi leo ina-determine maisha ya kizazi chako cha kesho kama umechezea mabint na mabint zako watachezewa hivo hivo
YaanNdizo akili za wanaume wabaya, makapuku, wasio na mvuto inshort wasio na mbele wala nyuma
Watu wanakaza ubongo tu..maana wanajua wakikubaliana na wewe watageuka victims something that is not true..[emoji23] [emoji23] Ata kama tayari bikra haipo they just need to be open minded maana kulikubali hili leo linaweza waokoa watoto na wajukuu wao in the future..Watu walishashindikana hata kwa muumbaji wao. Leo wewe uje na misemo na nahau watakulewa?
Wao kuoa mwenye bikra ni bahati/Neema. Watu humu naona wanapovuka tuu. looh
Unajua binadamu hatujakamilika na sehemu penye wawili haiwezekani kila siku pakawa tulivu so kwa mwingine ni better kuwa alone, na kuwa peke yako haimaanishi ni mpweke,kitu mbaya ni upweke tu, na unaweza kuwa mpweke hata kama upo na watu elfu mojamtu akiamua kuishi peke yake na umri wake unaruhusu kuoa au kuolewa ujue kuna sababu tu ila si kwamba haitaji mahusiano ambayo ndio hupelekea ndoa....sikatai binadamu wote si sawa ila kuna mambo tuko sawa kwa kila mmoja yani kupenda ni kama kifo tu kwamba si hiari lakini ni lazima kikukute....mapenzi hujiendesha....siamini mtu kuishi pasipo kupenda
Na ufanye hivyo kama umelitambua hilo toa elimu au mawazo yako kwa watu ila kusema mwenye mawazo tofauti na ww ni mjinga au hana akili unakosea unamaanisha ww ni reference ya kipimo cha akili au werevu yaani kwa maana nyingine ww ni unit ya akiliNasitahili kuomba msamaha kwa kweli
Mkuu nakuheshimu ujue. Mimi ntakuwaje Bikra ilhali ni mwanaume
Na ufanye hivyo kama umelitambua hilo toa elimu au mawazo yako kwa watu ila kusema mwenye mawazo tofauti na ww ni mjinga au hana akili unakosea unamaanisha ww ni reference ya kipimo cha akili au werevu yaani kwa maana nyingine ww ni unit ya akili
Ndoa bahna unaminyaminya Nyaya unanunua Bilinganya [emoji27][emoji27][emoji27][emoji529][emoji108]Usilie Mrembo, nakuja Pm kukupa bembelezo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakuelewa vizuri ila unapozungumza na Joka Jeusi tambua unazungumza na mtu anayejua dunia inaendaje na mwisho wake ni upi. Najaribu kuwaelewesha vijana wachache ambao watanielewa lakini wale wasiojua siri za ulimwengu hawatanielewa.
Walianza bikra haina maana, sasa tunaingia episode ya pili ya tigo, napo miaka ijayo utasikia haina shida kuoa ni kuoa. Mission accomplish-MA