Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Una-advocate wanawake wawavumilie wanaume kama hawana hela lakini by default mwanaume kama huna hela ni kwamba huwezi ku-provide so YOU ARE NOT MASCULINE ENOUGH kupata traditional woman who is a virgin.
Unachokiongea hapa kiltakiwa kisemwe na kina Elon Musk na kina Diamond
We nae una akili kweli? Kwahiyo kuwa provider mpaka ulingane kiuchumi na Elon Musk au mpaka uwe waziri mkuu? Nikiwa na kipato cha kati tu siwezi kuwa provider? Una matatizo gani kichwani?Uzuri mimi sio mwanamke kwa hiyo nimeignore the whole first part of your argument. Inachekesha 😀
Sio suala la kutaka ni suala la KUWEZA. Unaweza ukataka kesho kuwa Elon lakini unaweza?
Wanaume providers tu ndo inabidi watoe hiyo argument ya kutaka virgins. Most sio providers.
Hiyo hija ya mtoa mada angetoa mtu kama Waziri, au any top guy tungeelewa. Ukiangalia threadz za mtoa mada zinapishana.
Wengi wenu mnaotaka bikra hata hamjawahi kuexprience hiyo kitu
Wewe kapuku achana n hizo story. Dunia imebadilika mkuu.
Plus, acha kuwasikiliza kina Andrew Tate
Ungesema (ga) tu mapema humu tupo kuelimishana,kutaniana na kuburudisha. Sema siwezi badirisha jina tuHapana huniletei mfadhaiko tena😂😂Wewe ni mtu, Asante sana.. Umenisaidia. 🤸🤸
Wewe je umeoa huyo bikra? Je hujatoa bikra za wengine ambao hukuwaoa? Maisha ni bikra pekee, imekusaidia chochote so far?Mungu hakukosea aliposema wanaume tuoe wanawake bikira. Kama unabishana na aliyemuumba mwanamke bishana naye
Swali zuri japo mlniliyeulizwa siyo mie, lakini nashauri wanaume wenzangu waendelee kuchakata mbususu used, akikuta bikra waache coz ni mali ya mumewe, kama ukiitoa bikra itabidi uoe huyo huyo. Mimi nikipata bikra tu naoa.Wewe je umeoa huyo bikra? Je hujatoa bikra za wengine ambao hukuwaoa? Maisha ni bikra pekee, imekusaidia chochote so far?
Safi, lakini maisha siyo bikra pekee, unaweza mpata mtu hana bikra ila ni wife material sana, usijilimit kuoa eti hadi bikra aah, nyie wenyewe siyo nanii pia..Swali zuri japo mlniliyeulizwa siyo mie, lakini nashauri wanaume wenzangu waendelee kuchakata mbususu used, akikuta bikra waache coz ni mali ya mumewe, kama ukiitoa bikra itabidi uoe huyo huyo. Mimi nikipata bikra tu naoa.
Bikra muhimuWewe je umeoa huyo bikra? Je hujatoa bikra za wengine ambao hukuwaoa? Maisha ni bikra pekee, imekusaidia chochote so far?
Past ina matter sana kwa mwanamkeSafi, lakini maisha siyo bikra pekee, unaweza mpata mtu hana bikra ila ni wife material sana, usijilimit kuoa eti hadi bikra aah, nyie wenyewe siyo nanii pia..
Siyo muhimu mkuu, itakua muhimu kama na nyie mtakua mmetulia, umechapa bikra kama 20 hivi na hujawaoa then unataka uoe bikra, that's not fair.Bikra muhimu
Nakubaliana na ww kwa asilimia zote 😃Anakuwa kama anakulinganisha na ma ex wake wengine.
Wanawake wanajipa umuhimu sana, eti kisa 'k', halafu mzigo wenyewe wajanja wamefungua.
Wanawake mindset zao huwa wanahisi kutoa mzigo ndio tunu ya hali ya juu na ya heshima zaidi.
Nilikua navizia sehemu nikukute bado Mapema. Ilo jina Baki nalo tu na nakuunga mkono. Wosia wa marehemu uheshimiwe. Wakikaidi usikubali ku R.I.P urudi UWasumbue.😂Ungesema (ga) tu mapema humu tupo kuelimishana,kutaniana na kuburudisha. Sema siwezi badirisha jina tu
Ni kweli ila wengine huenda ni ile adolescence stage tu, mtu akajaribu kitu, but haimaanishi kutokua bikra basi ni mhunii.Past ina matter sana kwa mwanamke
Sawa kiongozi ni kweli kabisa lakini hao 20 mi sikuwabaka, nimaelewano yalitokea kati ya pande mbili, maana yake ni kama angeona umuhimu wake asingekubali kutolewa na mtu anajua kabisa hatomuoa.Siyo muhimu mkuu, itakua muhimu kama na nyie mtakua mmetulia, umechapa bikra kama 20 hivi na hujawaoa then unataka uoe bikra, that's not fair.
Je katika ushawishi wako, ulitumia ushawishi gani, hukutumia kigezo cha kuja kuwaoa? Uliwaambia ukweli kwamba unataka kupita tu/kuwachezea? Unahisi wangejua ukweli kama hamna future wangekubali?.Sawa kiongozi ni kweli kabisa lakini hao 20 mi sikuwabaka, nimaelewano yalitokea kati ya pande mbili, maana yake ni kama angeona umuhimu wake asingekubali kutolewa na mtu anajua kabisa hatomuoa.
Mwenye maamuzi ya kuitunza au kuipoteza ni ke mwenyewe
Kuoa asie bikra inauma huwezi elewa ndugu labda yakukute, angalia humu wengi wenye hasira na huu uzi wameoa wanawake used.Ni kweli ila wengine huenda ni ile adolescence stage tu, mtu akajaribu kitu, but haimaanishi kutokua bikra basi ni mhunii.