Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hizi zote ni hasira za kususiwa huyo mwanamke uliyemkuta used wenzako wamemtumia wamemkojolea umekuja kuokota makombo. Hiyo siyo shida yetu ni shida yako
Mi nimeoa bikra ila sijawahi kuona big deal kama ambavyo unaleta mboyoyo humu.
 
Wakati huo na ww ukiwa bikra au?

Kuna wakati mnawaonea Sana wanawake

Wewe mpaka Leo umelala na wanawake wangapi? Why ushangae yeye kuwa na wanaume kumi ?

Kama wewe umeweza kubadilisha mpaka wamefika kumi why yeye asibadilishe?
Mungu hakumuumba mwanaume awe na kitu cha kumjua ni bikra

Lakini alimuumba mwanamke akiwa na hymen ambayo inakujulisja ikiwa ni mtumna au kitu sealed
 
Mi nimeoa bikra ila sijawahi kuona big deal kama ambavyo unaleta mboyoyo humu.
No hard feelings bro mi na wewe tunaheshimihana sana tusifike mbali

Kila mtu atulie na mke wake iwe ni used au la

Usiku tunafunga milango hata kama hakuna wezi ili tulale tukiwa na peace of mind. Ila usipofunga lazima ukose amani. Sizungumzii milango mkuu
 
Mungu hakumuumba mwanaume awe na kitu cha kumjua ni bikra

Lakini alimuumba mwanamke akiwa na hymen ambayo inakujulisja ikiwa ni mtumna au kitu sealed

Hayo ni mapokeo Tu
Hakuna uhalisia ni kama wanavyosema mwanaume atakula Kwa jasho

Kila kitu kikiwa hakija tumika Kwa mara ya kwanza then kina seal
 
Kutombwa nje tu tayari ina maana hakupendi

Wakati huo na ww ukiwa bikra au?

Kuna wakati mnawaonea Sana wanawake

Wewe mpaka Leo umelala na wanawake wangapi? Why ushangae yeye kuwa na wanaume kumi ?

Kama wewe umeweza kubadilisha mpaka wamefika kumi why yeye asibadilishe?
Kama watu watafikiria ni mifumo dume fresh tu! Daudi mfalme alikuwa na wake wangapi? Waislam wanaona mwanamke zaidi ya mmoja hiyo ni sheria ya dini ya kiislam, fatilia sheria hyohyo huwezi kukuta mwanamke mmoja mwenye mume zaidi ya mmoja. We hujiulizi kwann?

We fatilia maandiko hata adm mwenyew baada ya Hawa alikuwa na wake wengine. Kuna maandiko niliwahi kusoma mwanamke alitolewa bikra na mshikaji tu sijui ni wawap, jamaa baada ya kumtoa bikra akataka kumuoa lakin ndugu zake wakagoma, mpaka walikuja kumuua.

Mwanamke amelimitiwa kwenye nyanja nyingi kwasababu ya madhaifu yake.
 
Sio Mbaya, hata mimi nimewavunja Bikra kadhaa lakini sijawaoa.
 
Hakuna demu anayekupenda akakubali kuvuliwa chupi na mwanaume mwengine, Never

Kama umewahi kuwa na demu wa namna hiyo hakua anakupenda bro huyo alikua kahaba mzoefu.
 
Utengenezaji wa bidha viwandani huwa wanaweka kitu kinachoitwa SEAL. Bidha yenye SEAL maana yake ni mpya, haijaguswa na MTU yeyote.

Ukiona product haina SEAL, hiyo ni used, maana yake Imetumika.
Kikawaida bidha iliyotumika inakuwa sio bora na ni hatari sana Kuitumia. Kuna uwezekano mkubwa ukaingia gharama kubwa kwenye matumizi yake. Bidha mpya ni smooth Kuitumia. Haisumbuwi. Mfano, Nunua simu mpya dukani au Nunua simu used kwa MTU. Utaona simu used itakusumbuwa tu Kuitumia.

Sasa Mungu aliweka kitu kinachoitwa BIKRA kwa wanawake. BIKRA ni SEAL ya MWANAMKE. Ina maana sana, sana, sana.

MWANAMKE BIKRA ni bidha mpya. Ni bidha original kabisa. Matumizi ya bidha mpya ukiipata ni smooth sana. Unateleza tu.

Zifuatazo ni faida za kuoa BIKRA
1) MWANAMKE BIKRA hawezi kukusumbuwa. Anakuwa mti sana
2) MWANAMKE BIKRA hawezi kukusaliti hata kama unaisha naye mbali.
3) Watoto wako wanakuwa na afya ya kimwili na kiroho maana njia ya mkeo haijawahi kupitisha uchafu wowote
4)Mwanamke BIKRA anakujuwa wewe tu dunia nzima. Hamjui mwanamme mwingine, kwa hiyo ni rahisi kumuongoza. Mwanamke BIKRA amebarikiwa sana na Mungu. Huwezi kupata Magonjwa ya zinaa.

5) Mwanamke BIKRA ni mwaminifu ktk mambo ya fedha
Faida zipo nyingi.
Ukioa mwanamke ambayo sio BIKRA Mara nyingi inakuwa kinyume chake.
 
Aya wasio na Bikra typing.....
 
Kila mwanamke hata majahaba was once a bikra,so bikra ni kama komwe kila mtu analo ila doesnt last forever
 
Haya ili mtuoe wakaka wa jf mnataka bikira au tako?,,mnatuchanganya mjue,,ili nkienda uturuki nijue nanunua bikira au tako,vyote vipo sokoni sasa ni simple tu,hata sura mkitaka tunanunua.
 
Haya ili mtuoe wakaka wa jf mnataka bikira au tako?,,mnatuchanganya mjue,,ili nkienda uturuki nijue nanunua bikira au tako,vyote vipo sokoni sasa ni simple tu,hata sura mkitaka tunanunua.
Wanakuchosha tyu
 
Kwa Ulimwengu wa sasa hicho kitu ni kigumu sana.
Kuna Bint mmoja wa Kisilam kwa sasa sijui yule bint Yuko wapi, ndoto yake ilikua anasema anataka kufanya mapenzi mpaka siku atakayo olewa
Yule bint alikua muadilifu sana Ingawa mm ni mkristo lakini Yule bint nilimuelewa sana.
Nilimpenda mpaka nafsini mwangu nilikua namuombea Mungu atimize haja ya Moyo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…