Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

😂Watu wana defense mechanism aiseee, (eti kwani we ni bikra).

Usidanganywe mkuu bikra ni mwanamke ndo anakatwa utepe sio mwanaume we tafta bikra kitu zero kilomita, weka ndani ufurahie maisha.
Sijadanganya mtu mkuu, ni swali kama maswali mengine tuu, 😂😂😂acheni watoto wa watu wasome.. Na wala sijasema asitafute anachohitaji bali apewe anachostahili..
 
Wamejaa kibao buguruni na tandale mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…