Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hawa wenye Bikra anahakikisha Hiyo Bikra unaigharamia kweli kweli.

Ndio maana waliowatoa bikra huwa hawawoi. Kibri, ujeuri, andhani hiyo Bikra ni dhahabu.

Na ukimuoa akapata mimba Braza umekwisha. Anakudrain kila kitu.

Unakuwa mtumwa, kujiliza kila wakati, akiingia period mtaa mzima unajua Mke wako yuko MP, mimba full kutapika kana kwamba Yeye ndiye Mwanamke wa Kwanza Duniani kupata mimba.

Ndio hawa Single Mazas. Yaani anakuboa hadi unaamua kubwaga manyanga
 
Hivi mdada wa miaka 27 nae ni mshangazi?wewe una 31 mmepishana miaka minne unamwita mshangazi kweli!
 


Nilitumia hi mbinu 👉 Imani, dhamiri na nadhili ni nzuri ila inahitaji commitment ya hali ya juu Sana b'se unapokutana na mwanamke for the first time na tabia zile za asili kama kiburi, jeuri na TAMAA ni ngumu sana kumhandle ila ukilenga (i.e kuwa na lengo) utahandle na utajenga aina ya mke unaemuhitaji katika MAISHA yako



Lakini inahitaji MWANAUME mwenye akili na HEKIMA na Sio mwenye kiburi cha uzima na TAMAA
 
Nakuhitaj Kwenye Ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…