Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Kwani mwanaumwe hajalambwa jaman, mbona mnakuwa hivyoo wapendwa
 
MWANAMKE BIKRA hawezi kukusaliti hata kama unaisha naye mbali.
Pumbavu! Tumeshawakula wangapi ambao waliolewa Bikira! Sema tu sasa hivi tumejiheshimu hatutaki tena wake za watu! Ila ni wao ndio walituthinitishia kwamba tangu wameolewa hawakuwahi kufika Kibo!
 
Exactly 💯
 
Basi tumefeli wengi, kifo wengi ni harusi. Hata wewe mwenye uzi umefeli, huenda ulidanganywa.
 
Aliye mbikiri
Aliye mfikisha kileleni kwa mara ya kwanza
Aliye mfanya akaitwa mama kwa mara ya kwanza
Hawa ni wanaume hatari sana kwa ustawi wa mahusiano yako..they have a great to have access na mwanamke wako at anytime....
 
ni ndoto ya kila mwanamke kuolewa na yule aliye mbikiri,

ila shida tunayo sisi tunaanza haya mambo tukiwa wadogo,

lakini ukibahatisha ukaoa bikira kuna namna unajivunia,,
 
Kiranga acha uongo.

Hakuna mwanaume (mwenye akili timamu) asiyetamani kuoa mwanamke bikra.
Kama Ushawahi kukutana nazo kama sisi utagundua hazina maajabu

Na kitu msichojua ukimtoa bikra lazima ajaribu kuonja kwengine ladha yake [emoji23]


Kama unadhani ukitoa bikra utapendwa pia unajidanganya[emoji23] kweli hatakusahau kama vile wewe najua huwezi msahau mwanamke wako wa kwanza .


Mara nyingi penzi anafaidi yule wa pili [emoji23][emoji23] sema wengi wanazingua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…