MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Hata ambao sio bikra maana hata wao wamezini kwa nini uangalie upande mmoja tuPoint ingekuwa nzur kama ungesema waliowahi kutoa bikra wasioe bikra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ambao sio bikra maana hata wao wamezini kwa nini uangalie upande mmoja tuPoint ingekuwa nzur kama ungesema waliowahi kutoa bikra wasioe bikra
Hilo lazima lizingatiweChonde chonde tunaomba msiende kuvibaka vitoto vyetu shuleni kwasababu ya kutafuta huo ujinga wa bikra!!! Tafuteni mizeee mienzenu muendelee kutoana bikra!! Tunaomba san
Natanguliza shukrani!! Maana imezuka tabia kwa baadhi ya watu hasa hawa wapenda bikra kufocus na watoto wetu wanaosoma shule za msingi na sekondarHilo lazima lizingatiwe
Mtu hajawahi kutana na bikra au hajawahi zini asitafute bk kweli?Hata ambao sio bikra maana hata wao wamezini kwa nini uangalie upande mmoja tu
Bikira atafute bikira mwenzake .Mtu hajawahi kutana na bikra au hajawahi zini asitafute bk kweli?
Mkuu nna watoto wawili kwa mwanamke ambae mimi ndiye mwanaume wake wa kwanzaNishawahi kuwa na uhusiano nao ndio maana nakwambia kutulia ni tabia ya mtu
Wengi wenu hamajawahi Kutana nao ndio maana mnaongea mnakariri. Na wanaume ambao hawajawahi kuwa nao na kuzitoa ndio mna moto nao sana [emoji23]
Ebu tulia kwanza, unaandika huku unakimbia au ? Sijaelewa point hata moja hapaAnakupenda ukizidiwa kete anampenda mwengine . Akili kichwani mwako. Halafu ampate anayejua mapenzi kuliko wewe upendo unaisha [emoji23] of course kukusahau hawezi kama vile wewe ulivyo huwezi sahau mwanamke wako wa kwanza haimaanishi unampenda
Kupenda ni tofauti na kutokusahau
Maana kuna wengine wanakuwa raped
Wanapoteza virginity zao
Yes, Nataka nikupe K dole ukikatikieKwani unataka kunipa K ?
Na inatakiwa itolewe na mume wa ndoa pekeeBIKRA ni kitu cha THAMANI sana.
Point Ni bikira sio kigezo cha mke bora una kichwa kigumu ndio maana huelewiEbu tulia kwanza, unaandika huku unakimbia au ? Sijaelewa point hata moja hapa
Hujamkuta mke bikra huwezi kuwa mshamba hivi [emoji23][emoji23]Mkuu nna watoto wawili kwa mwanamke ambae mimi ndiye mwanaume wake wa kwanza
Sikuulizi maswali kwa bahati mbaya
Ila wewe ndio unanipa mashaka na madai yako sasa ( Nadhani ni wale watu mmepigwa sana matukio kwenye maswala yanayohusu mahusiano kwahiyo huwezi kuwa na mtazamo chanya kuhusu mapenzi )
Samahani, Una akili timamu ?Hujamkuta mke bikra huwezi kuwa mshamba hivi [emoji23][emoji23]
Una kaushamba nazo ukikutana nazo mbili tatu utaelewa.
Unajifariji tu .
💉🔨Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra; Mwanaume wake wa 10 kuwa naye kwenye mahusiano kabla yako kama atamkumbuka, nina uhakika hawezi kumkumbuka.
Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa ipo kichwani mwake kama tukio la jana tu.
Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini, kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata.
Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?
Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.
Wewe loser uliyeoa mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?
Last man una uhakika hiyo mimba ni yako?
Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weaknesses za mkeo na wakiamua kutia kambi hachomoi?
Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well
Learn or perish
Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra; Mwanaume wake wa 10 kuwa naye kwenye mahusiano kabla yako kama atamkumbuka, nina uhakika hawezi kumkumbuka.
Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa ipo kichwani mwake kama tukio la jana tu.
Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini, kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata.
Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?
Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.
Wewe loser uliyeoa mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?
Last man una uhakika hiyo mimba ni yako?
Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weaknesses za mkeo na wakiamua kutia kambi hachomoi?
Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well
Learn or perish
kama hiiPunguza malalamiko mkuu wangu, wapo wanaopenda ingilishi figa pia.
hahahaha 😂,,heri ya mwaka mpyaUnawakosea wanaume wa JF, tafadhali sema vijana wa alufu mbili.
Mno tena😊kama hii