Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hilo lazima lizingatiwe
Natanguliza shukrani!! Maana imezuka tabia kwa baadhi ya watu hasa hawa wapenda bikra kufocus na watoto wetu wanaosoma shule za msingi na sekondar

Waalimu wakiume hasa shule za msingi na sekondari mjichunge sanaa maana hizi tabia nyie ndo mnaozifanya sanaaa....
" Hii ni kwa mujibu wa baadhi ya wanawake ambao walishamaliza shule, nilipata kusikia baadhi ya story zao wakiwa shule ya msingi na sekondari" hasa shule za msingi

Binafsi nachukia sana watu wa sampuli hio!!.
(Tafuteni bikra za kuanzia chuo Kikuu huko)
 
Waalimu wa shule za msingi na sekondari acheni kutuharibia watoto wetu
 
Nishawahi kuwa na uhusiano nao ndio maana nakwambia kutulia ni tabia ya mtu


Wengi wenu hamajawahi Kutana nao ndio maana mnaongea mnakariri. Na wanaume ambao hawajawahi kuwa nao na kuzitoa ndio mna moto nao sana [emoji23]
Mkuu nna watoto wawili kwa mwanamke ambae mimi ndiye mwanaume wake wa kwanza

Sikuulizi maswali kwa bahati mbaya

Ila wewe ndio unanipa mashaka na madai yako sasa ( Nadhani ni wale watu mmepigwa sana matukio kwenye maswala yanayohusu mahusiano kwahiyo huwezi kuwa na mtazamo chanya kuhusu mapenzi )
 
Anakupenda ukizidiwa kete anampenda mwengine . Akili kichwani mwako. Halafu ampate anayejua mapenzi kuliko wewe upendo unaisha [emoji23] of course kukusahau hawezi kama vile wewe ulivyo huwezi sahau mwanamke wako wa kwanza haimaanishi unampenda




Kupenda ni tofauti na kutokusahau


Maana kuna wengine wanakuwa raped
Wanapoteza virginity zao
Ebu tulia kwanza, unaandika huku unakimbia au ? Sijaelewa point hata moja hapa
 
Ebu tulia kwanza, unaandika huku unakimbia au ? Sijaelewa point hata moja hapa
Point Ni bikira sio kigezo cha mke bora una kichwa kigumu ndio maana huelewi

Utakuta binti kapoteza bikra kwa kubakwa kwa vigezo vyenu sio mke bora .
 
Mkuu nna watoto wawili kwa mwanamke ambae mimi ndiye mwanaume wake wa kwanza

Sikuulizi maswali kwa bahati mbaya

Ila wewe ndio unanipa mashaka na madai yako sasa ( Nadhani ni wale watu mmepigwa sana matukio kwenye maswala yanayohusu mahusiano kwahiyo huwezi kuwa na mtazamo chanya kuhusu mapenzi )
Hujamkuta mke bikra huwezi kuwa mshamba hivi [emoji23][emoji23]

Una kaushamba nazo ukikutana nazo mbili tatu utaelewa.
Unajifariji tu .
 
Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra; Mwanaume wake wa 10 kuwa naye kwenye mahusiano kabla yako kama atamkumbuka, nina uhakika hawezi kumkumbuka.

Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa ipo kichwani mwake kama tukio la jana tu.

Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini, kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata.

  • Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?
  • Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.
  • Wewe loser uliyeoa mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?

  • Last man una uhakika hiyo mimba ni yako?

  • Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weaknesses za mkeo na wakiamua kutia kambi hachomoi?

Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well

Learn or perish
💉🔨
 
Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra; Mwanaume wake wa 10 kuwa naye kwenye mahusiano kabla yako kama atamkumbuka, nina uhakika hawezi kumkumbuka.

Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa ipo kichwani mwake kama tukio la jana tu.

Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini, kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata.

  • Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?
  • Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.
  • Wewe loser uliyeoa mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?

  • Last man una uhakika hiyo mimba ni yako?

  • Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weaknesses za mkeo na wakiamua kutia kambi hachomoi?

Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well

Learn or perish
 

Attachments

  • Futa-Talaka-Ministry_20250113_2.mp4
    10.3 MB
Back
Top Bottom