Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Bado una utoto, ukikua utaacha
 
Mzee tsmbua siku hixi bikirs inabumbwa,
Huwezi kuta mtu mwenye ndoa yake serious ameanzisha uzi wa kijinga hivi.

Wewe ni either unasubiri shule zifunguliwe au umetoka kwenye mihangaiko unataka uchangamshe kijiwe

Toka hapa usitupumzikie
kijana tambua siku hizi bikira inatengenezwa, kwa akili yako unadhani ni bikira original kumbe hospitsli wanapandikiza
 
apo mshindi atakua Mpaji Mungu ataingia dak za nyongeza
Sijajua mnajadili nini ila mi nashauri mwanamke akiwa bikra aweke vigezo vya mwanaume anaemtaka nje na hapo awe mpole tu pia Kwa wanaume kama una hela weka vigezo vya mwanamke unaemtaka nje na hapo endelea kutumia second hand products
 
Sijajua mnajadili nini ila mi nashauri mwanamke akiwa bikra aweke vigezo vya mwanaume anaemtaka nje na hapo awe mpole tu pia Kwa wanaume kama una hela weka vigezo vya mwanamke unaemtaka nje na hapo endelea kutumia second hand products
Hujawahi niangusha kwenye kutoa mawazo,,safi sana
 
Kila mmoja atachanganyikiwa kwa wakati wake
Wakwako ndio huu.
 
Nanukuu""....Huwa tunaongea mara kadhaa kama mjuavyo kwa kijana mwenye akili timamu linapofika jambo lenye umuhimu wake huwa anapenda......kifupi hii ni chai maana hakuna mwanaume mwenye akili timamu Anaoa,so either unamsifia tu bure huyo mdogo wako au umetunga hii stori.
 
Umemaliza kila kitu. Asomaye na afahamu. Vitoto vimekazana bikra bikra 😂😂🤣
 
Weka dau nitume baadhi ya txt za wasap tlizo chati baada ya maongezi....ilikuwa jana saa9 alasiri usij sema tume edit ama nimejitumia mwenyewe. weka dau niweke hapahapa kila mtu aone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…