Mnavyo zingatia hizo bikra hivi mnajua na za kutengeneza zipo???!!!;
Ndoa ni kitu wide ni zaidi ya hiyo bikra.
Bikra itakupa faraja pale utakapokua umeanguka?? Bikra itakupa amani ndani ya hiyo ndoa, bikra itakupa watoto na familia yenye maadili, bikra itakupa msukumo wa kufanya maendeleo ? Bikra itakupa uelewano na huyo mwenzi wako endapo mambo yakibadilika na ukawa fukara!! Bikra itakuhudumia endapo ukapata tatizo litakalohitaji msaada wa kudumu.....
Ndoa ni zaidi ya bikra na maisha ya ndoa Yana ups and down nyingii mnooo ndio maana kwenye semina za ndoa wanafundisha vingi mnooo.
Ndani ya ndoa bikra huisha, mvuto hupotea kinachobaki ni uvumilivu sasa Kama huna uvumilivu basi ndoa itakushinda na huyo bikra wako....