Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

ila mkuu kuoa bikra wakati mwingine ni pata potea tu..kwa vigezo vyako ulivyo orodhesha huko juu eti unaanza kumdundisha ww mambo ya kissing,romance na sex upo sahihi ila kumbuka ww hujui au huna utaalam wa kila kitu isitoshe huyo bikra wako ana mengi pia ya kujifunza tena wanashawika kirahisi zaidi baada kusikia au kusimuliwa kitu tofauti na ulicho nacho ww hivyo rahisi kujaribu asichopata kwako na akiotewa vizuri huko anazuzuka vibaya mno maana vitu vingi vitakuwa vipya au vigeni kwake.. tofauti na asiye bikra aliyepita sehemu tofauti anajua mengi hivyo si rahisi kuzuzuka kishamba tokana na uzoefu hapatokuwa na jipya la ajabu kiasi apoteze maboya..hivyo bikra na asiye bikra ka mmoja ana faida na hasara zake
Upo sahihi,umuhimu wa bikra anakuwa ajui mengi na akipat Mtu sahihi si rahisi kufanya hayo unayoyasema otherwise mwanaume awe anazingua katika mahitaji yake.
 
Ndugu mwanasaikolojia!

Tafiti za kisaikolojia zinafanywa na Binadamu hatumiki kama sampuli kwasababu ndio kiumbe Cheney uwezo wa ku pretend!

Sasa basi utafiti wako hautupi matokeo ya asilimia mia moja kuhusu hicho ulichokiandika!!
Asilimia 60 huwa ni hivyo na asilimia zikizidi zaidi ya 50 katika utafiki ni ukweli...wa Jambo Hilo Kwa wingi....
 
Pesa ndiyo itamfundisha mwanamke vitu vingi.

Mfano unaweza kumpeleka Zanzibar akajifunza kucheza na Luxury engine boats then mkakalia yatch.

Unaweza mtoa out China akapanda ile aTrain ya kasi au Dubai kwa waarabu, Au Sweden kucheza kwenye barafu.

Tafuta pesa, Bikra waachie waarabu wa Iraq.
Haya ni mawqzo ya Watu waliozoea kugingewa wake zao na walio Kata tamaa na mapenz na hata Maisha muda mengine.
 
Upuuzi content! mwanaume kujali sana wanawake ikiwa una mengine mengi ya kufanya kwenye hii dunia huo ni uanamke mwingine, yaani niache kutafuta pesa nianze kutafuta mwanamke bikra au sio bikra ili inisaidie nini itanipeleka mbinguni au itaniongezea mali nilizonazo? Shwain
Hahaha haya tafuta Pesa uishi na Malaya.
 
Shida inakuja pale unapoona misambwanda, kitu mahipsi aka bastola, kitu white, kitu kiuno namba 8, kitu mguu mguu, hapo udenda unakutoka, wa kwako, hana vyote hivyo ila ni mke safi kabisa ametulia lkn mambo ya juu hana, hapo ndo hatar inapoanzia, so take care.
Umakini kujifunza.
 
Mmh ,mm naona Tabia ni Mtu alivyokuwa,alivyo na atakavyojiweka ...Naungana nawe kwa baadhi ya facts juu ya bikra women mfano kuna baadhi ya women ni bikra but have body count in other parts of body (Umenielewa I hope,ukitulia vzr) sasa Mtu kama huyu ni wale wale hakuna cha kumwelekeza,Pia mazingira globalization inatuharibia Watu jamani Semina uchawa vya kulishana upuuzi vinaharibu Watu especially ladies Mtu anajiona hot cake 🍰 demand kubwa ila MDA ukienda inabidi abadilike kuendana na soko hivo Hapo upendo unakuwa sio ule WA moyoni
Upo sahihi kabisa ujaacha kitu.
 
Kwenye Karne hii ya sayansi na technolojia, hakuna mahusiano ambayo wenza hawapigani picha au kuchukuana video za uchi Either kwa wote kukubaliana au kwa siri. Mara nyingine hizo picha na video za uchi zinachukuliwa wakiwa wanafanya tendo.

Pia Kuna hatari ya hao wenza kuchukuliwa video wakiwa faragha bila Wao kujua kwenye nyumba za wageni. Gesti na hoteli nyingi Kuna kamera zilizojificha mahususi kwa ajili ya kuchukua picha za uchi.

Sasa wewe muoaji ambaye unaoa binti ambaye tiyari kesha kuwa na mahusiano. Siku ukiona picha au video za mkeo akibinukiwa, je utakuwa tiyari kuendelea naye?
 
Back
Top Bottom