Rebeca 83 dada angu kipenzi naomba utujibie hili plzKwenye Karne hii ya sayansi na technolojia, hakuna mahusiano ambayo wenza hawapigani picha au kuchukuana video za uchi Either kwa wote kukubaliana au kwa siri. Mara nyingine hizo picha na video za uchi zinachukuliwa wakiwa wanafanya tendo.
Pia Kuna hatari ya hao wenza kuchukuliwa video wakiwa faragha bila Wao kujua kwenye nyumba za wageni. Gesti na hoteli nyingi Kuna kamera zilizojificha mahususi kwa ajili ya kuchukua picha za uchi.
Sasa wewe muoaji ambaye unaoa binti ambaye tiyari kesha kuwa na mahusiano. Siku ukiona picha au video za mkeo akibinukiwa, je utakuwa tiyari kuendelea naye?
Atakuja na mitusiRebeca 83 dada angu kipenzi naomba utujibie hili plz
Achana na hizi ya kutrend. Kuna video zipo kwenye simu za ma ex zao, muda wowote kinanuka.Uzuri wa hizo video hua zina trend kwa muda mchache mno, kwan mpaka sasa umeona video ngapi na je zinazungumziwa mpaka sasa?
Dah mwenzio kakuita kwa maneno matamu ila umempa za uso hadi huruma yanKoma kunizoea fala wewe
Daaah, picha inaumiza sana hii mkuu.
ππππ!!!
Huyo namjua usimuone hivyo..ana yakeDah mwenzio kakuita kwa maneno matamu ila umempa za uso hadi huruma yan
Bado sijaona jipya hapoAchana na hizi ya kutrend. Kuna video zipo kwenye simu za ma ex zao, muda wowote kinanuka.
Kujia single maza wa tutoto tutatu npo apa nkupende piaAisee mjue mnaboa sana bikra bikra, kwani mkioa nyie si inatosha?
Mtu kama mimi napenda. Single maza naona mnanipigia kelele tu khaaa!!
Sasa inauma nini,ushasema ni past,kila mtu ana past yake, na huwezi kuibadilishaDaaah, picha inaumiza sana hii mkuu.
Ukweli mchungu huuSiyo vibaya tukiwakumbusha pia wale wanaopenda kuoa wasomi,hao ndiyo huwa wanabeba ma-scraper kabisa.
View attachment 3215131
Watoto kwangu ni baraka sana, asante nami nakupenda my dearKujia single maza wa tutoto tutatu npo apa nkupende pia