Mengine tunamuachia baba na mama [emoji16][emoji16][emoji16]Lkn i expected one of my sistas in here bragin kuwa aliolewa na bikra au bado leo anayo lkn hamna [emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna upendo kama upo ni ule shallow tu tofautisha sana demu aliye date before na bikra katika love perspective assuming wote wamekupendaKwamba ukishatobolewa Huwezi Kupenda tena au????[emoji16][emoji16][emoji16] Acha hizo mkuu upendo unakaa moyonii sio chupinii... Mbona wanaume kuoa hujawahi kusex sio sifaa????
Ewaaaaaaaaaa! Ni mjadala wa siku nyingine, hapa tutakera watu na imani zao.
Bikra ni better...! Lakini wewe binafsi ukisikia jamaa kakataa kuoa Binti mwenye sifa zote nzurii kisa binti Hana Bikra utamuonaje!??Hamna upendo kama upo ni ule shallow tu tofautisha sana demu aliye date before na bikra katika love perspective assuming wote wamekupenda
Vipi huyo utakae mjengea Nyumba mlandiz na Yule atakae mjengea nyumba madale (used)Na mwenzako atakiahidi iPhone kitampaa..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kama unavyoona wewe ni rahisi kukidanganya bhasi wenzako watakidanganya hivyo hivyoo...
Yaan niku ahid ndoa nisikuombe mchezo utaendelea kuwa na Mimi au utahis jogoo hapandi mtungi
So kuoa bikra sio Fact kuwa hawezi danganywa na kugongekaaa...!Vipi huyo utakae mjengea Nyumba mlandiz na Yule atakae mjengea nyumba madale (used)
Kudanganywa kupo tu
Akitokea Wa hivo nishtue ni screenshot niweke kwenye Watsap statusLkn i expected one of my sistas in here bragin kuwa aliolewa na bikra au bado leo anayo lkn hamna [emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine wataendelea kuwa na wewe mimi ntahisi jogoo hapandi mtungi. Kwani tunaishi ili tufanye nini si ili tuenjoy? Ikiwa mnasubiri kufunga ndoa maisha yanasimama au yanaendelea? Kama yanaendelea nikatiw.e na nani na wewe upo? Aggghhhrrrrrrr [emoji16]
Sasa kama kutokua na bikra kunamnyima Amani ya Moyo ajilazimishe?Bikra ni better...! Lakini wewe binafsi ukisikia jamaa kakataa kuoa Binti mwenye sifa zote nzurii kisa binti Hana Bikra utamuonaje!??
Acha ujinga ww umewatolea wangap bikra na ukijua kabsa hujawaoa na unafikir hao uliowatolea ww bikra wataolewa na nan nyinyi mnawatoa wanawake bikra kwa ushawishi mkubwa tu halafu unakuja hapa unaongea ujinga.Habari Wakuu!
Mwanamke mwenye Bikra kuolewa ni lazima na ni haki yake lakini hawa wakina Amber Rutty kwa kweli kuolewa wacha waiite Bahati. Huwezi msikia mwanamke Bikra akiongea kauli ya kijinga kama hiyo. Kauli hiyo hutolewa na wanawake waliochojolewa na wale dizaini ya kina Wema.
Mwanamke Bikra anayohaki ya msingi ya kuchagua mwanaume amtakaye. Hakika inapendeza kusika mwanamke bikra akisema nataka mwanaume mwenye pesa, HB, na mcha Mungu. Hata sisi wanaume tutakuambia kwa kweli una haki ya kuchagua hivyo. Lakini nyie akina Amber Rutty ambao mgodi ulimalizwa madini yote kwa kweli mnashangazaga sana. Hata hivyo Mungu ni mwema kwani aliumba pia na wanaume wajinga na wenye kujidharau ndio maana mnaolewa. Lakini kwa wanaume wanaojielewa, wanaojua thamani ya mke hawawezi hata thubutu kuchukua binti asiye bikra.
Binafsi nipo tayari kutoa mahari yoyote kwa mke wang mtarajiwa endapo tuu atakuwa ni bikra. Bikra ni Nyota njema. Embu fikiria Yesu angezaliwa na mwanamke asiye na bikra nini kingekuja kwa wanaume wanaojua kufikiria na kujua thamani ya utume.
Mwanamke mwenye bikra hawezi kuwa na wasi wasi hata afikishe miaka 40. Lakini asiye na bikra miaka 25 tuu jasho linamtoka. Kuolewa ni bahati kwa wanawake wasio na Bikra lakini ni lazima kwa wanawake wenye bikra.
Sasa Hivi atoke mwanamke hapa mwenye umri wa miaka 35 aseme yeye ni bikra na anataka kuolewa, nakwambia hawezi chukua wiki moja wanaume watapanga foleni kujaribu bahati zao. Lakini atoke asiye na bikra miaka 24 awe mzuri kama malaika aseme anataka kuolewa uone kama hata chukua miaka kama miwili mpaka saba kupata wa kumuoa.
Sijui kwa nini watu hawaelewi mambo madogo kama haya.
Povu linaruhusiwa. Hasa kwa wanawake wenye mrengo wa Amber Rutty
Ndio hivyo Mkuu. Bikra hata ufanye ufanyeje itabaki kuwa bikra tuu. hata nyumbani kwenu kama mpo wawili. Wewe si bikra na mmoja ni bikra unadhani nani ataolewa kwa mahari kubwa?
Njoo kwenye kafara, unadhani ikitolewa oda ya kutolewa kafara unadhani nani atatolewa kafara kati mwenye bikra na asiye na bikra?
Nikikutia na nkakukuta bikra hata kama nshatoa mahar narudi kwenu kuongeza nyingine, what a reward?Wengine wataendelea kuwa na wewe mimi ntahisi jogoo hapandi mtungi. Kwani tunaishi ili tufanye nini si ili tuenjoy? Ikiwa mnasubiri kufunga ndoa maisha yanasimama au yanaendelea? Kama yanaendelea nikatiw.e na nani na wewe upo? Aggghhhrrrrrrr [emoji16]
HAKUNINYIMI AMANI KABISAAA NA HAKUTAKUJA KUNINYIMA AMANI...!Sasa kama kutokua na bikra kunamnyima Amani ya Moyo ajilazimishe?
Mzee usicheze na hisia bwana
Kwani kuna binadamu asiyeweza kudanganywa?So kuoa bikra sio Fact kuwa hawezi danganywa na kugongekaaa...!
case closed
Dah!
Eehe tumekubaliana wote wanadanganyikaa!Kwani kuna binadamu asiyeweza kudanganywa?
We si ulisema used hawadanganyiki
Kama ndo sababu usioe cause mkeo atadanganywa
Acha ujinga ww umewatolea wangap bikra na ukijua kabsa hujawaoa na unafikir hao uliowatolea ww bikra wataolewa na nan nyinyi mnawatoa wanawake bikra kwa ushawishi mkubwa tu halafu unakuja hapa unaongea ujinga. Labda uwe hujawahi fanya hicho kitendo lkn kama umeshawah mtolea mwanamke bikra na hujamuoa hakika huwez oa bikra
Ni rahisi sana kumtambua mwanamke bikira na asie bikira kwa mwanaume makini ila wale wavodafasta ni ngumu yeye anataka apate kile fikra na hisia zake zimemtuma akipate.Yawezekana ulichokiongea ni sahihi. Japo lugha uliyotumia du!
Mimi ni mwanamke, lakini sidhani kama ni jambo jema kwa mwanaume aliyeoa lady asiye na bikira kumwita "mjinga". Si kosa lake. Na tambua pia kuna wanaume hawapendi hizo bikira. Pia, kinachounganisha watu ni upendo na si bikira.
Jingine, utajua vipi kama huyu binti Ana bikira au hana? Maana hatutembei na nembo siye.
Hayo yote ni majaliwa